Kenya is more dark at night compared to Tanzania..

Kenya is more dark at night compared to Tanzania..

Dot ndogo ndogo.. Yani ata Mombasa imechapa dar

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaongelea Kenya na Tanzania wewe unaongelea Mombasa...๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…Unatafuta pakutokea...๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Kama wewe ni mwanaume ludi kwenye battle ya Dar vs Nai na Mombasa yako...๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…Dar es salaam ni nchi nyingine kabisa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Mbona kaskazini mwa Kenya kuna watu wanaishi!! Wewe bila aibu unasema ni jangwa tupu na kutokua na umeme ni sahihi!! Hii mentality yakujiona baadhi yenu kutoka maeneo fulani fulani ni bora kuliko wengine inaitafuna sana Kenya (ukabila) na hapa imekutoka automaticaly. Ukabila uko deep sana kwenu, inabidi mfanye maombi ya kitaifa kukemea hilo pepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha ubishi wakijinga over 95% ya Kenya population iko concentrated upande wa chini ambayo ni asilima robo ya Kenya,nayo population ya 5% iko sparsely populated upande wa juu ambao no 3/4 ya ardhi ya Kenya....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaongelea Kenya na Tanzania wewe unaongelea Mombasa...[emoji28][emoji28][emoji28]Unatafuta pakutokea...[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama wewe ni mwanaume ludi kwenye battle ya Dar vs Nai na Mombasa yako...[emoji28][emoji28][emoji28]Dar es salaam ni nchi nyingine kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]
Angalia map umechorewa hapo juu na mk254 wacha kujifanya zuzu we boya ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha nikupe picha zilizochorwa ramani kabisa maana kama kawaida wengi wenu huwa hamjui hata jiografia, Kenya tunaishi eneo ndogo sana, lakin hata hilo eneo linazidi ukanda wote huu kwa maendeleo.

orbit-view-kenya-night-map-kenya-red-as-seen-space-planet-earth-night-white-borderlines-city-119401192.jpg
Look at the distribution and compare with Tanzania...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…Hapo najua somo limekuingia vizuri ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Tunaongelea Kenya na Tanzania wewe unaongelea Mombasa...[emoji28][emoji28][emoji28]Unatafuta pakutokea...[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama wewe ni mwanaume ludi kwenye battle ya Dar vs Nai na Mombasa yako...[emoji28][emoji28][emoji28]Dar es salaam ni nchi nyingine kabisa[emoji28][emoji28][emoji28]
Tanzania hakuna kitu labda Hizo ni moto ya wachawi usiku... Tudot tudogo dogo...mombasa Pekee imechapa Dar + Zanzibar .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A satellite image dated to 2010.
Currently 70%of Kenyans have access to electricity as compared to less than half of Tanzanians .
That is an undisputed fact.
Walio gizani no ninyi!!
Shukuru hiyo ni yakitambo ikiletwa ya 2018 hutoamini. Kwenya swala la umeme kupelekwa vijijini ata watu wa upinzani hawaliongelei limetekelezwa kwa nguvu zote na kwa mafanikio. Wewe fikiria lengo la sasa hivi ni vijiji vyote kuwa na umeme watu wako site zoezi lina endelea. Mind you umeme Tz ni very cheap kuliko Kenya. Ushago ili uweze kuwa connected unalipa 10 Usd!! & @ less than 4 Usd unapata 80 units. Can this be possible in Kenya!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeanza mwanzo na kuiliza Wakenya waishia wapi, ungegundua kule wanakoishi ndo huko unakoona mataa mengi.....

Kila siku hua mkidai Kenyatta anamiliki ardhi yote Kenya hua nawaambia karibia 90% ya wakenya wanaishi ndani ya 30% ya Kenya landmass (ikiwemo hayo mashamba ya Kenyatta) na huko kwengine si watu wengi wanakoishi, mwanzo hizo sehemu hua zinajulikana kama community land ambapo jamii nzima inamiliki Hilo eneo... lakini hua hamtaki kusikia....


Sasa fananisha hio picha ya stima na hii picha ya population density... Utaona maeneo hayo ya Mombasa,Nairobi, Central na Western ndo watu wengi wanaishi na yote yanang'aa usiku....

View attachment 987718View attachment 987719View attachment 987720

Hii picha ya 3D ndo inaonekana vizuri kabisa.. this is where you'll find a majority of Kenyans, huko kwengine ni sehemu kame watu 0.02 ndani ya square kilometer.
View attachment 987721
Naona una angaika sana..Dar es salaam has more population than Nairobi do you know that??...๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… That means in Kenya the infrastracture is bot evenly distributed...Kila siku sisi husema Kenya imejengeka Nairobi, Kisumu na Mombasa..Sehemu nyingine ni Big ZERO
 
Mbona kaskazini mwa Kenya kuna watu wanaishi!! Wewe bila aibu unasema ni jangwa tupu na kutokua na umeme ni sahihi!! Hii mentality yakujiona baadhi yenu kutoka maeneo fulani fulani ni bora kuliko wengine inaitafuna sana Kenya (ukabila) na hapa imekutoka automaticaly. Ukabila uko deep sana kwenu, inabidi mfanye maombi ya kitaifa kukemea hilo pepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa bila Tanzania, East Africa ingeonekana part of a dark continent...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Alafu wana kwambia wako na umeme mwingi..Wasubili kuona maajabu ya Stiglers Gorge...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Hawa jamaa bila Tanzania, East Africa ingeonekana part of a dark continent...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Alafu wana kwambia wako na umeme mwingi..Wasubili kuona maajabu ya Stiglers Gorge...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Leo umewaweza sana [emoji1] [emoji1] ukipata latest itakua tamu zaidi. Halafu taa zina ambaa ambaa kwenye njia ya reli ya kati. Sasa SGR iki isha si itakua mataa kama ulaya [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania hakuna kitu labda Hizo ni moto ya wachawi usiku... Tudot tudogo dogo...mombasa Pekee imechapa Dar + Zanzibar .

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatafuta pakutokea kwa kuleta uchawi..??๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Technology nikitu mbaya sana...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ You guys mko na shida nyingi..Mko na source nyingi za umeme lakini haziwafikii walengwa...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Wacha ubishi wakijinga over 95% ya Kenya population iko concentrated upande wa chini ambayo ni asilima robo ya Kenya,nayo population ya 5% iko sparsely populated upande wa juu ambao no 3/4 ya ardhi ya Kenya....

Sent using Jamii Forums mobile app
Do you know that Dar es salaam is more populated than Nairobi??๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Swala la population haliwezi kukuokoa katika hii mada...๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Shukuru hiyo ni yakitambo ikiletwa ya 2018 hutoamini. Kwenya swala la umeme kupelekwa vijijini ata watu wa upinzani hawaliongelei limetekelezwa kwa nguvu zote na kwa mafanikio. Wewe fikiria lengo la sasa hivi ni vijiji vyote kuwa na umeme watu wako site zoezi lina endelea. Mind you umeme Tz ni very cheap kuliko Kenya. Ushago ili uweze kuwa connected unalipa 10 Usd!! & @ less than 4 Usd unapata 80 units. Can this be possible in Kenya!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu angalia usije ukawafanya majamaa wajinyonge...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Twende taratibu...huko umefika mbali๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Leo umewaweza sana [emoji1] [emoji1] ukipata latest itakua tamu zaidi. Halafu taa zina ambaa ambaa kwenye njia ya reli ya kati. Sasa SGR iki isha si itakua mataa kama ulaya [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mkenya mmoja amesema Kenya wakubali for once kuwa wako chini๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
 
Jamaa mnamchapa Kwa thread alioianzisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Nachapwa...???๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Naona mtafuta pakutokea ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡Technology haijawahi danganya.
IMG_20190106_022448.jpg
 
Mkuu angalia usije ukawafanya majamaa wajinyonge...๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Twende taratibu...huko umefika mbali[emoji28][emoji28][emoji28]
Hahaaa.. najua wataenda ku google nakuumia roho. Kwa Africa nazani ni nchi chache zina weza kuwa na maisha kama ya TZ. Matunda ya ujamaa ndiyo haya sasa. Wao huko Turkana hawawezi peleka umeme kwa kuwa ata gharama za ku connect watu zitawapiga chenga achilia mbali bei za units.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kichaa ni kama Hana macho....umefanya vizuri kumchorea Hadi map ashike adabu[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni aibu kuwa anazidi kujivua...๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…Where are the dots evenly distributed btn TZ and KE...???๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Nakuwekea Map vizuri..๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
IMG_20190106_022448.jpg
 
Jamaa unajiaibisha mwenyewe. Unaiaibisha nchi yako na wananchi wenzako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huoni aibu kuwa anazidi kujivua...[emoji28][emoji28][emoji28]Where are the dots evenly distributed btn TZ and KE...???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakuwekea Map vizuri..[emoji28][emoji28][emoji28] View attachment 987841
Hii hapa umefanyiwa uelewe. Jiografia ndio shida ama ujinga tu? [emoji23][emoji23]
tapatalk_1546786570026.jpeg
 
Back
Top Bottom