Ukifuata kamusi utapotea kula lugha kukua neno sahihi na tunalotumia ni BENKIHata mtoto wa shule ya chekechea Kenya anajua kwamba 'central bank of' ni tafsiri ya 'banki kuu ya' kwa kiingereza. Kenya nayo inabakia kuwa Kenya kwenye lugha zote chini ya jua. Ila naelewa kwamba darasani huwa kuna 'slow learners', ndio maana hata uandishi wako ni majanga.
Ni sawa na kauli za magufuli anazotoa majukwani...yani watu hugawanyika...huu msemo unamlenga sanaAhaaa haaa haaa
Tihii tihiii
Ukiona umetoa advert halafu halafu hadhira yako ina mawazo yaliyo gawanyika kutokana na tangazo lako, ujue you missed the point.
Urudi ujipabge upya.
Kufanya hivyo siyo ujinga.
Hawa basi wanajua nn...km juzi tu mmoja wao alikuwa akipinga neno kufunza....yani nilicheka sana....Hata mtoto wa shule ya chekechea Kenya anajua kwamba 'central bank of' ni tafsiri ya 'banki kuu ya' kwa kiingereza. Kenya nayo inabakia kuwa Kenya kwenye lugha zote chini ya jua. Ila naelewa kwamba darasani huwa kuna 'slow learners', ndio maana hata uandishi wako ni majanga.
Hata mtoto wa shule ya chekechea Kenya anajua kwamba 'central bank of' ni tafsiri ya 'banki kuu ya' kwa kiingereza. Kenya nayo inabakia kuwa Kenya kwenye lugha zote chini ya jua. Ila naelewa kwamba darasani huwa kuna 'slow learners', ndio maana hata uandishi wako ni majanga.
Hawa basi wanajua nn...km juzi tu mmoja wao alikuwa akipinga neno kufunza....yani nilicheka sana....
Katika majukwaa yao pia wengine niliwaona wakishangaa eti neo kuuwawa......mpka nashangaa hawa majamaa vipi...hujisifu kiswahili na wakati kuna maneno hawayajui kabisa na wala hwajawai kuyaskia...wengine pia walishangaa neno kotini...hawa jamaa wa tanzania bara ni bure kabisa...nashuku wengi si wa pwani wenye wako hapa jf...
Si wajua kiswahili hakiwahusu watu wa bara...wamefanya kukiskia kw wenzao wa pwani ndo manake wanabwata tu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]asante sana kw kunirekebisha kwanza...ni kuuawa...nakubali nime type vibaya...eti kiswahili ni cha watanzania...hta neno kumakinika umejifunza kw wakenya...Hakuna neno
kuuwawa badala yake kuna kuuawa
Kotini hakuna neno hilo badala yake kuna mahakama.
Kijana inabidi uwe makini sana unavyokuja kuongelea masuala yanayogusa MASILAHI YA TAIFA LA TANZANIA, yaani KISWAHILI.
Bongo kipofu anaweza jua noti ya tz ni ya dhamana gani akiguza?Mbona kama ya Bongo View attachment 1133412
Imebidi kucheka...si kwa hili bandiko aisee...hapo umetungua mtu kama Iran na ile Drone ya trumpKiswahili sanifu(sio cha vijiweni) kwa waliosoma sio wale wa kukariri, ni kipana zaidi ya mnavodhania. Kuna siku nilisikia mtz akicheka baada ya kusikia jina kupiga mtu pambaja kwenye Tv za Kenya. Ikabidi nimueleze kwamba kupiga pambaja ni kiswahili sanifu kabisa kwenye kamusi zote za lugha ya kiswahili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]asante sana kw kunirekebisha kwanza...ni kuuawa...nakubali nime type vibaya...eti kiswahili ni cha watanzania...hta neno kumakinika umejifunza kw wakenya...
Bongo kipofu anaweza jua noti ya tz ni ya dhamana gani akiguza?
Ama, Skuli (Zanzibar) = ShuleNi kama wanavyosema Afisi {office} - Zanzibar
Badala ya kujadili hoja, mnajadili tofauti ya kiswahili cha Kenya na Tanzania....Hata mtoto wa shule ya chekechea Kenya anajua kwamba 'central bank of' ni tafsiri ya 'banki kuu ya' kwa kiingereza. Kenya nayo inabakia kuwa Kenya kwenye lugha zote chini ya jua. Ila naelewa kwamba darasani huwa kuna 'slow learners', ndio maana hata uandishi wako ni majanga.
Unawapa faida ya bure kutucheka watz. Hayo maandishi madogo kabla ya neno Kenya, yanaitambulisha banki (benki) kuu kwa Lugha mbili zitumikazo zaidi nchini mwao. Haimaanishi hicho ulichoandika wewe!Ahaaa haaa haaa
Endeleeni kubaki na hiyo... Banki kuu ya central bank of Kenya.
Hii imezidiBongo kipofu anaweza jua noti ya tz ni ya dhamana gani akiguza?
Bwahahaaa!!!kumbe na wewe pia ni mmoja wao....hujui maana ya makinika....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Weee mtoto Kum...nini hilo neno lenye wino mzito!!!???
Bwahahaaa!!!kumbe na wewe pia ni mmoja wao....hujui maana ya makinika....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1133524
Sasa unamfunza mtu mwenye hta kiswahili hakitilii maanani....mwenzako huyo ana lugha zenye yupo vizuri sana hta zaidi ya kiswahili..siyo jua ..... sahihi ni kujua
siyo dhamana .... sahihi ni thamani
siyo akiguza .... sahihi ni akigusa
Ngoja nichukue nafasi iliyoachwa na babu Kifimbo Cheza wa jarida letu pendwa la enzi hizo SANI.
Ahaa ha ha ha ha