Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malema analialia kuhusu zile wig wanazovaa mahakimu na mawakili wakiwa kwenye vikao mahakamani huku Kenya. Anasahau kwamba wakati wamevaa hayo mawigi huwa wanasimamia haki kisheria chini ya katiba iliyoandikwa na wakenya wenyewe. Wengine wengi wanatumia katiba ambazo waliandikiwa na mzungu. Alafu hata sio wazungu wa kizazi hiki, ni wale vichaa wa zamani kwenye kofia za kihuni na zile khaki zao.Opinion...everybody is entitled to one...that was his...Kenya is a sovereign state...Yes, The US, the Uk, China all have business/military/political interests in Kenya and East Africa but that doesn't mean that those countries call the shots here...
yap zile wig za white....naskia kuna wakati Mutunga alizitupilia mbaliMalema analialia kuhusu zile wig wanazovaa mahakimu na mawakili wakiwa kwenye vikao mahakamani huku Kenya. Anasahau kwamba wakati wamevaa hayo mawigi huwa wanasimamia haki kisheria chini ya katiba iliyoandikwa na wakenya wenyewe. Wengine wengi wanatumia katiba ambayo waliandikiwa na mzungu. Alafu hata sio wazungu wa kizazi hiki, ni wale vichaa wa zamani kwenye kofia na zile khaki zao.
Imperialism 101, they call the shots mzee. Iulizeni serikali what is it that they can and can't do? Hata vita hamuwezi kupigana bila idhini yao.Opinion...everybody is entitled to one...that was his...Kenya is a sovereign state...Yes, The US, the Uk, China all have business/military/political interests in Kenya and East Africa but that doesn't mean that those countries call the shots here...Besides, South Africa was still under white minority rule for many decades even after Kenya got its independence....Today, whites own most of the wealth in SA while africans languish in extreme poverty.
Malema analialia kuhusu zile wig wanazovaa mahakimu na mawakili wakiwa kwenye vikao mahakamani huku Kenya. Anasahau kwamba wakati wamevaa hayo mawigi huwa wanasimamia haki kisheria chini ya katiba iliyoandikwa na wakenya wenyewe. Wengine wengi wanatumia katiba ambazo waliandikiwa na mzungu. Alafu hata sio wazungu wa kizazi hiki, ni wale vichaa wa zamani kwenye kofia za kihuni na zile khaki zao.
they don't...what they do is that they impose sanctions like what they did to Zimbabwe and North Korea..Imperialism 101, they call the shots mzee. Iulizeni serikali what is it that they can and can't do? Hata vita hamuwezi kupigana bila idhini yao.
American imperialism is a policy aimed at extending the political, economic, and cultural control of the United States government over areas beyond its boundaries. It can be accomplished in any number of ways: by military conquest, by treaty, by subsidization, by economic penetration through private companies followed by intervention when those interests are threatened, or by regime change.they don't...what they do is that they impose sanctions like what they did to Zimbabwe and North Korea..
Not my words! As we hysterically appreciate our president visit to the US and UK's May visitation, note how Malema says about these people. Note the level of analysis
then that is indirect control...meaning they cannot simply call Uhuru Kenyatta and order him to 'start a war' or something...plus it is totally normal for powerful nations like the US and China to have political, economic and military influence on much weaker nations...ndio maana huwa zinaitwa superpower...but it doesn't mean that they can interfere with the running of a country or force a country to move in a specific direction...kama ingekuwa hivyo then they wouldn't need to impose sanctions...American imperialism is a policy aimed at extending the political, economic, and cultural control of the United States government over areas beyond its boundaries. It can be accomplished in any number of ways: by military conquest, by treaty, by subsidization, by economic penetration through private companies followed by intervention when those interests are threatened, or by regime change.
Kenya is part of American imperialism
Eti we are not totally dependent kwasababu majaji bado wanavaa wig... WTF
Let's appreciate that self consciousness of South Africans is far higher than most of us here in the EA. When truth is said. Ukianza kukataa weakness yetu then that's to say we are the might of success. Wig ya nini? Is it true that we don't know why they pretend to be our darling? WE KNOW! Let's hope that Somalia will finally be our friendly nation. Hii kitu ya kudanganya eti tutapiga Al shabaab, NO!
good point bro....hizo vitu zote ni inventions za the white man...this Malema guy hata ukiskia venye anaongea, I think he is not well-educated...he doesn't have a point actually..But the rejection of that one colonial relic by ONE South African does not in any way mean that South Africans are more self concious than us. You are very twisted my friend, just like that radical, and may I say, irrational politician Julius Malema.
We can as well give up on our modern way of life: going back to our wattle huts, back clothes, no motor vehicles, no western education, no xhristianity or Islam, no govt, no cities, no electricity, no computers or phones or radios or newspapers....
Why are we not talking about pilots, waiters, firemen, police, soldiers, office workers, nurses, doctors, etc ways of dressing?
Can u see how petty we've become....to seem 'self concious'?
Being African is something deeper than the judiciary wigs, and the other ideas we have borrowed/inherited from other cultures, and entrenched into our own.
Acha kupotosha Maneno yake, yeye alianza kulaumu zimbabwe na Kenya kwa majaji kuendeleza utamaduni wa wakolini wakati hizi nchi zimeshajitawala, ila akakumbuka kwamba hapaswi kuilaumu Kenya kwasababu bado ni koloni la wazungu.Eti we are not totally dependent kwasababu majaji bado wanavaa wig... WTF