Kenya isilegeze kamba kwenye kuban Watanzania

Umesahau kuwaeleza.kwenye ligi kuu kuna wachezaji toka nchini mwao na hawaumwi corona
 
Ngoja Frans Kahata asome hii posti yake tuone kama hatamshukia kama mwewe...
Huyo Kahata mwenyewe akirudi tutamtia kwenye karantini ya siku 14 ili kuhakikisha hana corona
 
Huyo Kahata mwenyewe akirudi tutamtia kwenye karantini ya siku 14 ili kuhakikisha hana corona
Hivi wewe unapenda maisha ya kufungiwa ndani kama mifugo?

Mambo ya kuigaiga ndio yamewaponza nyie ndugu zetu, it's a matter of time tu kwa wananchi wa KE kuanza street protests kudai uhuru wao wa kuishi maisha yao kama zamani.
 
Tafuta mtu mwingine wa kudanganya. Mimi sidanganyiki virahisi. Nchi ya kishenzi sana hii. Eti mnasema hamna corona kwa miezi minne sasa. Upuuzi mtupu.
Kwa hiyo unataka tuseme uongo kama viongozi wenu wanavyofanya? Hapo mshenzi nani? Jifunze matumizi ya maneno sio yanakutoka tu kama umekunywa maji ya chooni
 
Israel itself is taking precautions and we all Clearly know it's history Sasa Tanzania ni ujinga na upumbavu tupu ndio mumejazaa muwache kujifanya kama mko special watu wanakufa na mnaficha
Nikikuchukua ukaonyeshe makaburi ya waliokufa Kwa Corona kama kwenu unaweza nionyesha?
 
hongera sn mzee kenyatta...kule mipakani mambo ni safi kabisaaa...umewadhibiti waswahili vyemaaa, wamejazana kulee huku nynya zao zikiozeana hukooooo!!😂
 
hivi bado mnafungiwa ndani tu!? 😆 😆 😆
hadi mfunguliwe mtakuwa kama misukule
 
hongera sn mzee kenyatta...kule mipakani mambo ni safi kabisaaa...umewadhibiti waswahili vyemaaa, wamejazana kulee huku nynya zao zikiozeana hukooooo!![emoji23]
Mbona sasa mnakufa kwa wingi na korona wakati Watanzania hatuujui huo ugonjwa?mbona mnakufa sana
 
Watu wanakufa Tanzania nyinyi ndio hamsemi wamekufa nini.
Wewe ulioko Kenya unaona watu wanakufa sisi tulioko Tanzania hatuoni watu wakifa na pia only fool anasema vifo vinaweza kufichwa kwenye ulimwengu huu wa science na technologia.
 
Katika vita ya covid jirani ulikurupuka! Pesa ya doner ulikula na pesa ya utalii unaitaka... cjui unaitaka au unataka tu kumkomoa Tz after madege kuanza kutua!
 
jiwe alikiwa anategea tegea kama fisiii...eti wauzieni chakula bei ghaliii!! hizo nyanya zinaozeana mipakani hukooo!😂 hongera kenyatta!
 
jiwe alikiwa anategea tegea kama fisiii...eti wauzieni chakula bei ghaliii!! hizo nyanya zinaozeana mipakani hukooo![emoji23] hongera kenyatta!
Bado unampa hongera Kenyatta au unamuomba samahani Jiwe?
 
Bado huu uzi ni "valid" au unajutia kuufungua?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…