Kenya isilegeze kamba kwenye kuban Watanzania

Kenya isilegeze kamba kwenye kuban Watanzania

Utapiamlo wa akili ni tatizo kubwa kenya,

Ligi kuu ya Tanzania ilirudi kitambo tena serikali iliruhusu mashabiki na ligi imeisha na hatujaona hizi propaganda ulizoandika hapa,

Tanzania’s Premier League resumes after suspension due to COVID-19

Vyuo na kidato cha sita vilifunguliwa kitambo hadi sasa kidato cha sita walishafanya mitihani yao na wameshamaliza pia vyuo sasa hivi wanakaribia kumaliza mitihani yao wewe endelea kupiga mushene,

Vyuo vikuu, michezo, ‘Form six’ kufunguliwa Juni 1

Pia shule za msingi na sekondari walishafungua shule za wanaendelea na masomo kama kawaida na wazazi wanaruhusu watoto wao kwenda shule,

Nukta | Shule za msingi, sekondari kufunguliwa Juni 29

Sasa wewe unafaidika na nini kueneza hizi uwongo humu. Je, ni ile hali ya kenya kuiogopa Tanzania?

Kwa sababu nikikuambia uthibitishe vyote ulivyoandika hapa hakika hutowezi.
Umesahau kuwaeleza.kwenye ligi kuu kuna wachezaji toka nchini mwao na hawaumwi corona
 
Ngoja Frans Kahata asome hii posti yake tuone kama hatamshukia kama mwewe...
Huyo Kahata mwenyewe akirudi tutamtia kwenye karantini ya siku 14 ili kuhakikisha hana corona
 
Huyo Kahata mwenyewe akirudi tutamtia kwenye karantini ya siku 14 ili kuhakikisha hana corona
Hivi wewe unapenda maisha ya kufungiwa ndani kama mifugo?

Mambo ya kuigaiga ndio yamewaponza nyie ndugu zetu, it's a matter of time tu kwa wananchi wa KE kuanza street protests kudai uhuru wao wa kuishi maisha yao kama zamani.
 
Tafuta mtu mwingine wa kudanganya. Mimi sidanganyiki virahisi. Nchi ya kishenzi sana hii. Eti mnasema hamna corona kwa miezi minne sasa. Upuuzi mtupu.
Kwa hiyo unataka tuseme uongo kama viongozi wenu wanavyofanya? Hapo mshenzi nani? Jifunze matumizi ya maneno sio yanakutoka tu kama umekunywa maji ya chooni
 
Israel itself is taking precautions and we all Clearly know it's history Sasa Tanzania ni ujinga na upumbavu tupu ndio mumejazaa muwache kujifanya kama mko special watu wanakufa na mnaficha
Nikikuchukua ukaonyeshe makaburi ya waliokufa Kwa Corona kama kwenu unaweza nionyesha?
 
Naweka kumbukumbu sawa. Wamekufa wakenya 413 kwa corona.bado wakenya 87 wafike 500.
Screenshot_20200808-113150.jpg


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
hongera sn mzee kenyatta...kule mipakani mambo ni safi kabisaaa...umewadhibiti waswahili vyemaaa, wamejazana kulee huku nynya zao zikiozeana hukooooo!!😂
 
hivi bado mnafungiwa ndani tu!? 😆 😆 😆
hadi mfunguliwe mtakuwa kama misukule
 
hongera sn mzee kenyatta...kule mipakani mambo ni safi kabisaaa...umewadhibiti waswahili vyemaaa, wamejazana kulee huku nynya zao zikiozeana hukooooo!![emoji23]
Mbona sasa mnakufa kwa wingi na korona wakati Watanzania hatuujui huo ugonjwa?mbona mnakufa sana
 
Watu wanakufa Tanzania nyinyi ndio hamsemi wamekufa nini.
Wewe ulioko Kenya unaona watu wanakufa sisi tulioko Tanzania hatuoni watu wakifa na pia only fool anasema vifo vinaweza kufichwa kwenye ulimwengu huu wa science na technologia.
 
Katika vita ya covid jirani ulikurupuka! Pesa ya doner ulikula na pesa ya utalii unaitaka... cjui unaitaka au unataka tu kumkomoa Tz after madege kuanza kutua!
Screenshot_20200808-203635_Facebook.jpg
Screenshot_20200808-204158_Facebook.jpg
 
jiwe alikiwa anategea tegea kama fisiii...eti wauzieni chakula bei ghaliii!! hizo nyanya zinaozeana mipakani hukooo!😂 hongera kenyatta!
 
jiwe alikiwa anategea tegea kama fisiii...eti wauzieni chakula bei ghaliii!! hizo nyanya zinaozeana mipakani hukooo![emoji23] hongera kenyatta!
Bado unampa hongera Kenyatta au unamuomba samahani Jiwe?
 
Kenya isikubali Watanzania waje huku kutuongezea corona. Hawa Watanzania wanadanganya eti hawana corona lakini ni dhahiri shahiri kuwa wao wana corona na wanakufa kwa wingi tu. Kenya isiogope hasira za mkizi kutoka kwa Watanzania. Afya ya Wakenya ipewe kipaumbele.
Bado huu uzi ni "valid" au unajutia kuufungua?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom