Kenya -Jengo la Hospitali ya fufaa laporomoka

Kenya -Jengo la Hospitali ya fufaa laporomoka


Wenzako cha Moro na Mbeya bado somo? Umaskini mbaya!


Sasa wewe unabisha kwamba 50% of Nairobi buildings are not fit for human habitation?
We are now waiting for and until that part of 50% of poor buildings done to carnage the people.


 
Poleni asna majirani... chukueni Engineers kutoka Tanzania...
 
Poleni asna majirani... chukueni Engineers kutoka Tanzania...
hao Engineers wenu wako na experience gani wakati kuna picha hapo juu wadau wametupia hata unaweza kutapika au kukosa appetite ya kula mwezi mzima. unataka waje watujazie uchafu na takataka kwetu?
unafaa ujue na uelewe kwamba, jengo lenu refu zaidi ndani ya Tanzania munalojivunia na kulipiga picha kwa kila angle, lilijengwa na Wakenya.
 
hao Engineers wenu wako na experience gani wakati kuna picha hapo juu wadau wametupia hata unaweza kutapika au kukosa appetite ya kula mwezi mzima. unataka waje watujazie uchafu na takataka kwetu?
unafaa ujue na uelewe kwamba, jengo lenu refu zaidi ndani ya Tanzania munalojivunia na kulipiga picha kwa kila angle, lilijengwa na Wakenya.

Sasa kwa nini wanashindwa kujenga majengo mazuri Kenya???
 
nyuzi kama hizi ndio utapata wabongolala wakisherehekea. hata wale ambao walopotea mwezi mzima ukizani walitekwa na wingu la korona leo utawaona wakishangilia na kupiga gwaride ni kama wameshinda kombe la dunia.
Ni kwasababu mna-brag nyinyi ndio mna elimu bora,nch tajiri kuliko zote ea and central zone,mna majengo mazuri! Sasa hatutegemei kwenu matajiri wenye elimu vitu kama hivi vitokee mara kwa mara. Mnajisahau kuwa nyinyi ni nchi ya dunia ya tatu tu be humble.
 
hao Engineers wenu wako na experience gani wakati kuna picha hapo juu wadau wametupia hata unaweza kutapika au kukosa appetite ya kula mwezi mzima. unataka waje watujazie uchafu na takataka kwetu?
unafaa ujue na uelewe kwamba, jengo lenu refu zaidi ndani ya Tanzania munalojivunia na kulipiga picha kwa kila angle, lilijengwa na Wakenya.
Ila wakenya hao kwao wanajenga death traps! Hujajiuliza kwanini?
 
Ni kwasababu mna-brag nyinyi ndio mna elimu bora,nch tajiri kuliko zote ea and central zone,mna majengo mazuri! Sasa hatutegemei kwenu matajiei wenye elimu vitu kama hivi vitokee mara kwa mara. Mnajisahau kuwa nyinyi ni nchi ya dunia ya tatu tu be humble.

Kweli kabisa, kuna mmoja humu ndani anaitwa MK254 anajiona bora kwa kuwa tu anaweza kuongea maneno kadhaa ya kiingereza 🤣🤣🤣. Tangu jengo la hospitali ya Taifa lianguke. Haijulikani kapotelea wapi. Isije ikawa amekwama kwenye vifusi.
 
Sasa kama kwenye BRT akili yao imeishia kupaka lipstick kwenye barabara. Je majumba ndiyo wataweza?
🤣🤣🤣

06CB9478-D29A-4054-A950-F5504E49C359.jpeg
 
Take the bull by the horn!! kuonglea majengo ya Tanzania wakati taarifa ni za jengo liloanguka Kenya ni utoto na upumbavu uliovuka mipaka.
I have always considered you to be one of the level headed Tanzanians in this forum but lately you seem to be getting inducted in the joto la jiwe Naton Jr kind of stupidity. This is clearly a troll thread. If anything, you should have condemned the thread than people who troll back.
 
I have always considered you to be one of the level headed Tanzanians in this forum but lately you seem to be getting inducted in the joto la jiwe Naton Jr kind of stupidity. This is clearly a troll thread. If anything, you should have condemned the thread than people who troll back.
There's clearly a much bigger problem than a "thread" that needs to be addressed, if you don't see that then you are the problem.
 
There's clearly a much bigger problem than a "thread" that needs to be addressed, if you don't see that then you are the problem.
There's a problem yes, but there's also a problem when you consistently ridicule your neighbor's kid for being a poor footballer when your own kind is neither better and on top of it performs poorly in class. Just read the OP and tell me with a straight face that this is not trolling.
 
hao Engineers wenu wako na experience gani wakati kuna picha hapo juu wadau wametupia hata unaweza kutapika au kukosa appetite ya kula mwezi mzima. unataka waje watujazie uchafu na takataka kwetu?
unafaa ujue na uelewe kwamba, jengo lenu refu zaidi ndani ya Tanzania munalojivunia na kulipiga picha kwa kila angle, lilijengwa na Wakenya.
Jengo lipi lilijengwa na wakenya?
 
I have always considered you to be one of the level headed Tanzanians in this forum but lately you seem to be getting inducted in the joto la jiwe Naton Jr kind of stupidity. This is clearly a troll thread. If anything, you should have condemned the thread than people who troll back.
You have considered him level headed, and what about your head..?
 
There's a problem yes, but there's also a problem when you consistently ridicule your neighbor's kid for being a poor footballer when your own kind is neither better and on top of it performs poorly in class. Just read the OP and tell me with a straight face that this is not trolling.
Back to the topic. Of the two, which one is worth discussing first?
 
Wakenya tatizo mnamdomo Sanaa mlishidwa kabisaa kuliangusha pole pole hadi tumesikia kishindo mpka huku
 
Back
Top Bottom