Kenya kama Malawi, wapanga kupeleka vibarua wa Mashamba ya Israel kwa ujira wa Ksh. 228,000 (4,000,000Tsh)

Aahaaaaaa

All the best mkuu
 
- Waje fasta na huku!
Shida ni pale bila ya refa wa nguvu kijana wa kawaida hatoonekana.
- Haya ni mambo ya kawaida, mkindoa udini na vita, kuwaonyesha vijana duniani kulivyo.
Ona vijana mlivyo wajinga hamfikirii mara 2 uliwahi kuona watu wanalima vitani?
 
Mbona nyinyi mnapeleka mabinti zetu huko uarabuni kufanya kazi za ndani tena kwa mishahara midogo na wanafanyiwa unyanyasaji.
 
Hivi ardhi ya Israel mnaijua lakini..?😂😂😂

wakuu hakuna kurudi nyuma hata kama ni changarawe tutalima tuu milioni 4 kwa siku 30 sio mchezo
 
Hao ni hamas political bureau ndio kazi yao kuongelea siasa. Hamas military hawana muda wa kuongea siasa

Sir Robert: Be logical jamaa yangu......! Hukatazwi kabisa kuitetea Hamas....but be sensible please.....Hivyo akina Ismail Haniyeh, Moussa Abu Marzuk na Khaled Mashal ambao ndio think tank ya Hamas ni wapuuzi? Hawajui wanachokisema......?
 
wakuu kwa aliyefanikiwa kwenda naomba anijuze na mm katumia njia ipi ili nami niweze kufaulu niende
 
Gharama za maisha zipoje huko..usije tu kuconvert ukaiona 4m but unaweza kuta hapo kodi ni 60% bado matumizi
 
Jiandae kwenda kupigana vita dhidi ya hamas hakuna mashamba wala bustani huko. Unalima vipi rocket zinapita kila baada ya dk.1 ?kweli ujinga mzigo.
Kwani hao wanaopelekwa si watu wazima, kwani wanalazimishwa kwenda? Serikali inatoa utaratibu wa anayetaka aombe kazi hizo, hakika watajitokeza watu wengi
 
Kwani hao wanaopelekwa si watu wazima, kwani wanalazimishwa kwenda? Serikali inatoa utaratibu wa anayetaka aombe kazi hizo, hakika watajitokeza watu wengi
Kazi ya serikali ni kulinda usalama wa raia wake. Kuwa mtu mzima siyo sababu ndio maana wewe mtu mzima unaweza kuamua kujinyonga lakini serikali ikakushtaki. Israeli kwa sasa siyo salama kwa raia wetu kwenda kufanya kazi huko kuna vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…