Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Ujinga mtupu ndo chanzoZile taarifa za Mandonga kupigwa KO zilitolewa kutoka chanzo kipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga mtupu ndo chanzoZile taarifa za Mandonga kupigwa KO zilitolewa kutoka chanzo kipi?
Na ya yuda iskarioti umiisahau aiseeUtaomba hadi video ya Yesu sasa!
Tukuaminishe kama NaniBila kideo bado hutoaminika mkuu
ShehaTukuaminishe kama Nani
Kabla hajaanza kuwa fit
I hope pesa inamfikia isije ikawa kuna wajanja wanamtumia tu wanakula wao zaidi,hii wiki watakoma watu aseee na maneno na misemo yake ya ajabu ajabu [emoji3][emoji3][emoji3] ila jamaa anatengeza sana hela
Comedian..Kabla ya pambano hilo, Mandonga alisema atamchakaza mpinzani wake huyo kwa ngumi ya Sugunyo ambayo imetoka Ukraine kwenye mlipuko wa mabomu
Jana kashinda [emoji1]
Ova
Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua.
Acha wivu ww mchezo wa ngumi ndo ulivyo lazima uwe na tambo kidogo ,, iweje umtukane homeboy kisa kashinda.🤣🤣 Huyu ngese akishinda ana maneno Mav…i 🤣🤣
Sio NDOIGE. Sasa amekuja na ngumi mpya iitwayo SUGUNYO. Anadai ameitoa nchini Ukraine kwenye mabomuMandonga mtu kazi!Ndoige si mchezo.
Nimeona umati nikasema huyu jamaa ndio wakati wakeMungu akitaka kukupa hakuandikii barua.
Sawasawa.Zote zake.Sio NDOIGE. Sasa amekuja na ngumi mpya iitwayo SUGUNYO. Anadai ameitoa nchini Ukraine kwenye mabomu