financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hongera zake mandonga, ila huwa napenda zaidi akipigwa anavyoendelea kutamba kwamba "akipigwa ni kama kapiga"😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera SANA kwakeKENYA: MANDONGA AMCHAKAZA MKENYA KWA TKO
Bondia Mtanzania Kareem Mandonga amefanikiwa kupata ushindi huo wa TKO dhidi ya Daniel Wanyonyi katika pambano la uzito wa kati ‘Super-middleweight’
Kabla ya pambano hilo, Mandonga alisema atamchakaza mpinzani wake huyo kwa ngumi ya Sugunyo ambayo imetoka Ukraine kwenye mlipuko wa mabomu
#JFSports #JamiiForums
View attachment 2481568
Ujue zilw gumi huuma?Hongera zake mandonga, ila huwa napenda zaidi akipigwa anavyoendelea kutamba kwamba "akipigwa ni kama kapiga"[emoji23][emoji23]
Jamaa huwa ana morali ya hali ya juu kabisa.Hongera zake mandonga, ila huwa napenda zaidi akipigwa anavyoendelea kutamba kwamba "akipigwa ni kama kapiga"😂😂
Kashazoea yule, ndiyo maana hata akidundwa anaeendelea kutamba kuliko hata aliyemdunda😂😂Ujue zilw gumi huuma?
Nasikitika sana maana Mandonga kushinda hayakuwa makubaliano yetu! 😱KENYA: MANDONGA AMCHAKAZA MKENYA KWA TKO
Bondia Mtanzania Kareem Mandonga amefanikiwa kupata ushindi huo wa TKO dhidi ya Daniel Wanyonyi katika pambano la uzito wa kati ‘Super-middleweight’
Kabla ya pambano hilo, Mandonga alisema atamchakaza mpinzani wake huyo kwa ngumi ya Sugunyo ambayo imetoka Ukraine kwenye mlipuko wa mabomu
#JFSports #JamiiForums
View attachment 2481568
Mrembo wa mandonga,welcome back..Hongera zake mandonga, ila huwa napenda zaidi akipigwa anavyoendelea kutamba kwamba "akipigwa ni kama kapiga"[emoji23][emoji23]