Kenya Kufanya Majaribio ya dawa mbili kutoka USA kwa ajili ya Corona

Hizo zinatumika kwa Wamaarekani, hazijaanza kuja kwa sisi second or third class human beings ambao hatutumii ubongo kusaidia kwa chochote zaidi ya kuwa mzigo dunia hii.
Bora umefunguka,tatizo ubongo.
 
Hivi kati ya Waafrika, Wachina na Wahindi nani wamezaliana sana...?! Nachokiona kwako umesafishwa fikra...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sisi tunazaliana na kuwa mzigo kwa wengine, hao wanazaliana na kujitahidi kujibeba, sisi lazima tubebwe, leo hii bila aibu unakuta taifa la kiafrika likiomba misaada kutoka kwa mabeberu ilhali hao wapo kwenye misiba wanapigika kwa corona, yaani ni kama uwakute watu wanaomboleza na badala uwasaidie unawazungushia kibakuli.....
 
Hazijaja Afrika, lazima ziwafaidi waliozigundua wajilipe kutumai ubongo wao kabla hazijaja kwa sisi walalahoi..
Huko zilipo gunduliwa mpaka sasa washa dedi wangapi [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu awaponye.....

Sent using My COVID-19
 
Ndio swali la kjiuliza na kushukuru sana maana licha ya umaskini wetu Afrika, kirusi kimetukwepa na kwenda kuua wazungu, waajemi, waarabu, wahindi n.k.
Sio kimetukwepa Ndio Ilikua Mipango Ya Mungu Dhidi Yetu hao wanaojifanya Miungu watu wanaojikuta wamekamilika Wanakufa kama Majani Yakiangazi

Mungu awaponye....

Sent using My COVID-19
 
Hivi kati ya Waafrika, Wachina na Wahindi nani wamezaliana sana...?! Nachokiona kwako umesafishwa fikra...

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Jamaa sijui anawaza Kwakutumia Akili Zipi Mpaka Kuna muda hua nawaza jamaa atakua kapandikizwa akili nawala sio akili zake hizi

Waafrika wote ulimwenguni uwachanganye hawawafikii WACHINA WAZUNGU WAHINDI kwaujumla wake jamaa sijui anakwamia wapi [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
 
Tatizo lako MKENYA umekua Brainwshed sana akijitoa MUFRIKA kutaka kujitegemea Hao mnawaona wana akili sana wanamuundia tume zengwe figisu wanamuondolea hata UHAI ikibidi ZIMBABWE waliamuandama MUGABE wakamjaza Njaa Mpaka sasa ZIMBABWE kama Sio DUNIANI

Siku WAAFRIKA kama wewe mkijakujaaliwa AKILI ZILO TIMAMU tunaweza KUENDELEA walau KIDUCHU



Sent using My COVID-19
 
Watu wenye Akili kama zako ndio wanafanya Africa isipige hatua, Akili hizi ndio zipo kwa viongozi wa Kenya, na Majority of Kenyans, Cowards.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko zilipo gunduliwa mpaka sasa washa dedi wangapi [emoji23][emoji23][emoji23]

Mungu awaponye.....

Sent using My COVID-19

Dawa haigunduliwi na kuzalishwa kwa mamilioni kwa wiki moja, cha msingi ni kwamba Marekani ndio matumaini, na waajemi lazima wasalimu amri.
 
Sio kimetukwepa Ndio Ilikua Mipango Ya Mungu Dhidi Yetu hao wanaojifanya Miungu watu wanaojikuta wamekamilika Wanakufa kama Majani Yakiangazi

Mungu awaponye....

Sent using My COVID-19

Ina maana awe anawapiga hata waarabu na waajemi kule chimbuko la dini yenu.
 
Haujui dunia inavyoenda Mabeberu huwa wanapenda kuwategemea taifa likianza kuchomoka huwa wanaanza zengwe mara vikwazo, halafu pia na wewe naona unaamini huwezi kwenda bila kusaidiwa... pia unaamini WHO anakupenda sana hata zile dawa za Afrika mara nyingi naona unazibeza sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hao hao mnawaoba misaada hata wakati wana misiba kama wakati huu, miafrika laana.
 
Watu wenye Akili kama zako ndio wanafanya Africa isipige hatua, Akili hizi ndio zipo kwa viongozi wa Kenya, na Majority of Kenyans, Cowards.

Sent using Jamii Forums mobile app

Miafrika mivivu kazi kuomba omba hata kwa watu walio na misiba, umaskini, ujinga na kuzaliana pumbavu sana....waafrika ni mzigo dunia hii.
 
Hyo dawa si wangeanza kuitumia wamarekani wenyewe wapone
Niko radhi kuwa kinguruwe cha kujaribiwa ili Afrika iokoke maana hiki kirusi ni ile kimetukosa kosa tu ila tulipaswa kufa kwa mamilioni, huu umaskini wetu unaosababisha hadi viongozi wanakua wakaidi, yaani tushukuru sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atakuwa anadanganywa na yale mashirika yanayotangaza sana njia za uzazi wa mpango halafu haswa kwa Afrika swali unajiuliza inamaana Afrika ndio inayoongoza kwa watu...?! Jibu ni Hapana, Hajui Ajenda zilizopo kwa vile amesafishwa fikra kitu kwake akisema Mzungu ndio kina akili...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona dawa zake zipo ila sema tu.
Akili za watu wengi zimeshikwa na wazungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…