Kenya Kufanya Majaribio ya dawa mbili kutoka USA kwa ajili ya Corona

Kenya Kufanya Majaribio ya dawa mbili kutoka USA kwa ajili ya Corona


Nilijua Kenyatta pia will accept his citizens to be used as guinea pigs,ni mtoto wa Wazungu huyo.Hivi viongozi wa Kiafrica hawajifunzi?You Kenyatta really.Cancer wametuletea,Ukimwi wametuletea,Hepatitis wametuletea,Ebola nk.nk.Kweli unakubali watu wako walishwe sumu kweli.Unajua wameweka nini humo.India na hapo kwako,tena hapo hapo, watu wako walifanyiwa nini?Kenyans wake up kama hii ni kweli,kataeni,Wazungu hawana jema kwenu.Possibly Kenyatta kapewa mrungura huyo.
 
Safi sana, dawa za kisayansi.....
Halafu jaribio la chanjo naomba nihuske, mnielekeze wapi nitajaza ombi la kuhusika.

Kweli ww umani yako na ukibaraka wako upo kwa Mabeberu maana unawapendaga saana ka, hata wakileta sumu wakasema ni vaccine kwa imani ulio nayo kwao utakubali. Jaribu kumwamini Mungu Muumba wako basi, maana yeye ndio suluhisho lako na si hao Mabeberu
 
Kweli ww umani yako na ukibaraka wako upo kwa Mabeberu maana unawapendaga saana ka, hata wakileta sumu wakasema ni vaccine kwa imani ulio nayo kwao utakubali. Jaribu kumwamini Mungu Muumba wako basi, maana yeye ndio suluhisho lako na si hao Mabeberu

Naomba mnielekeze wapi nitajaza fomu ya kuruhusu niwe kinguruwe cha kujaribiwa, ili niokoe hili bara la mazombi ambao hawana mchango wowote dunia hii zaidi ya kuzaliana na kuwa mzigo kwa wengine na kuomba omba misaada.
Hebu ona hapa bila aibu mnawazungushia kibakuli cha kuombea misaada hao ambao kwao kwa sasa ni misiba...

2356624_FB_IMG_1585883783081.jpg
 
Back
Top Bottom