Kenya kufungua Ubalozi katika jimbo linalotaka kujitenga na Somalia

Kenya kufungua Ubalozi katika jimbo linalotaka kujitenga na Somalia

Kenya itafungua ubalozi mdogo katika jimbo la Somaliland kufikia mwisho wa mwezi Machi wakati Somaliland nayo ikipanga kupandisha hadhi ofisi yake ya Kenya kuwa ubalozi mdogo.
Kenya wanafanya mchezo wa mbuni kuficha kichwa kwenye mchanga,huku makalio yakiwa nje!
Unafunguaje ubalozi kwa nchi isiotambulika?
Kitakachofuata ni Mogadishu kuwaachilia Al shabab waingie kenya kama wanakwenda chooni
 
Tutaona. Kule Msumbiji naona mnajaribu jaribu. Your days are numbered
Wale wa puuzi wamefurushwa upande wa Tz ss iv wame settle ktk jimbo lao upande wa meumbiji ...... Kumbuka walitandikwa sanaaa
 
Haka Kasomalia tutakachapa sana.
Kitu ambacho nimefurahia ni uwezo wa UK anavyojaribu kujiposition katoka kutaka kucontrol geopolitics za eneo hilo Somalia na South Sudan

Haya mambo Tz tuliyafanya muda Fulani wakati tuna watu wenye maono ya kidunia. Ila kwa sasa naona Policy yetu imeshift pakubwa na kubaki na mtazamo wa Internal Interests zaidi
 
Kitu ambacho nimefurahia ni uwezo wa UK anavyojaribu kujiposition katoka kutaka kucontrol geopolitics za eneo hilo Somalia na South Sudan

Haya mambo Tz tuliyafanya muda Fulani wakati tuna watu wenye maono ya kidunia. Ila kwa sasa naona Policy yetu imeshift pakubwa na kubaki na mtazamo wa Internal Interests zaidi
Hakuna kilichoachwa, sasa tunapiga kotekote.

Bado tupo huko kwenye siasa za nje, ila tofauti na zamani ni kuwa sasa tupo kiuchumi zaidi. Pia tofauti na zamani sasa tunawekeza kwenye mambo yetu ya ndani.
 
Kitu ambacho nimefurahia ni uwezo wa UK anavyojaribu kujiposition katoka kutaka kucontrol geopolitics za eneo hilo Somalia na South Sudan

Haya mambo Tz tuliyafanya muda Fulani wakati tuna watu wenye maono ya kidunia. Ila kwa sasa naona Policy yetu imeshift pakubwa na kubaki na mtazamo wa Internal Interests zaidi
Sasa hivi mumefocuss zaidi na mambo ya kuboresha uchumi wenu.
 
Hakuna kilichoachwa, sasa tunapiga kotekote.

Bado tupo huko kwenye siasa za nje, ila tofauti na zamani ni kuwa sasa tupo kiuchumi zaidi. Pia tofauti na zamani sasa tunawekeza kwenye mambo yetu ya ndani.
Huku kukana vitu ndo kunatuponza
Na wala sio jambo baya Shift in policy
Hakuna siasa yoyote ya Geopolitics Tz tunafanya sasa. Hakuna influence yoyote tuliyonayo siyo SADC,EAC,Middle East wala viunga vya UN. Hapa great Lakes ndo tumebakiza Burundi tu and our grip in Congo is Falling apart

Narudia tena sio jambo baya kuhamishia nguvu katika mambo ya ndani maybe ni kitu tulichokihitaji zaidi kwa sasa(Najua korido za Policy makers na Raid wana taarifa nyingi zaidi kuliko sisi)

Na pengine baada ya hii miaka kumi au 20 ya kustablize ndani tukarudi kuwa strong zaidi nje kuliko hata ilivyokua awali.

BTW ulisikia habari za Kenya kuingilia uchaguzi mkuu wetu?? Ni vita kubwa sana inapiganwa amini nakwambia.
 
Somaliland inataka kutambuliwa kama nchi huru.

Kenya itafungua ubalozi mdogo katika jimbo la Somaliland kufikia mwisho wa mwezi Machi wakati Somaliland nayo ikipanga kupandisha hadhi ofisi yake ya Kenya kuwa ubalozi mdogo.

Tangazo hilo la pamoja limetolea na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Somaliland Muse Bihi Abdi mwisho wa ziara yake nchini humo.

Viongozi hao wawili pia walikubaliana ndege ya Shirika la ndege la Kenya Airways kufanya safari ya moja kwa moja kutoka mji mkuu wa Nairobi, Kenya hadi mji wa Hargeisa ambao ni mji mkuuwa Somaliland kabla ya mwisho wa mwezi Machi.

Hatua hiyo inaonekana kuikera Somalia, ambayo imetangaza kukatiza uhusiano wake wa kidiplomasia na Kenya.

Somaliland ilijitenga na Somalia in 1991, lakini juhudi zake za kutaka kutambuliwa kimataifa kama taifa huru hazifanikiwa huku Somalia ikisisitiza kuwa bado ni sehemu ya eneo lake.

Somalia imewaita nyumbani wanadiplomasia wake kutoka Kenya na kuwapatia muda wa siku saba wanadiplomasia wa Kenya kuondoka nchini humo.

Msemaji wa serikali ya Kenya Cyrus Oguna amesema kamati ilikuwa imebuniwa kutatua mzozo kati ya nchi hizo, kwani zina uhusiano wa muda mrefu

Somaliland inataka kutambuliwa kama nchi huru.

Kenya itafungua ubalozi mdogo katika jimbo la Somaliland kufikia mwisho wa mwezi Machi wakati Somaliland nayo ikipanga kupandisha hadhi ofisi yake ya Kenya kuwa ubalozi mdogo.

Tangazo hilo la pamoja limetolea na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Somaliland Muse Bihi Abdi mwisho wa ziara yake nchini humo.

Viongozi hao wawili pia walikubaliana ndege ya Shirika la ndege la Kenya Airways kufanya safari ya moja kwa moja kutoka mji mkuu wa Nairobi, Kenya hadi mji wa Hargeisa ambao ni mji mkuuwa Somaliland kabla ya mwisho wa mwezi Machi.

Hatua hiyo inaonekana kuikera Somalia, ambayo imetangaza kukatiza uhusiano wake wa kidiplomasia na Kenya.

Somaliland ilijitenga na Somalia in 1991, lakini juhudi zake za kutaka kutambuliwa kimataifa kama taifa huru hazifanikiwa huku Somalia ikisisitiza kuwa bado ni sehemu ya eneo lake.

Somalia imewaita nyumbani wanadiplomasia wake kutoka Kenya na kuwapatia muda wa siku saba wanadiplomasia wa Kenya kuondoka nchini humo.

Msemaji wa serikali ya Kenya Cyrus Oguna amesema kamati ilikuwa imebuniwa kutatua mzozo kati ya nchi hizo, kwani zina uhusiano wa muda mrefu ambao unastahili kulindwa.
Nikiwa Mtanzania mwenye asili ya Somaliland nimefurwhishwa sana na jambo hilo
Hata muheshimiwa Bashe, Kinana, rage na wasomali wengi Tanzania tumefurahi na kuipongeza Kenya kua nchi ya Tatu kututambua baada ya UAE. Ethiopia
Mungu ibariki kenya
Mungu ibariki Somaliland
 
Huku kukana vitu ndo kunatuponza
Na wala sio jambo baya Shift in policy
Hakuna siasa yoyote ya Geopolitics Tz tunafanya sasa. Hakuna influence yoyote tuliyonayo siyo SADC,EAC,Middle East wala viunga vya UN. Hapa great Lakes ndo tumebakiza Burundi tu and our grip in Congo is Falling apart

Lile bomba la mafuta ya Uganda lililomfanya Uhuru kwenda mpaka Paris na kurudi mikono mitupu unafikiri bila ushawishi wa nje tungeweza?

Tulipo wakarabatia Uganda reli pale portbell na kukarabati meli ya mabehewa ili tuweze kuwashawishi UN kutumia bandari ya Dar kupeleka mizigo yao South Sudan, unafikiri ni siasa za ndani zile?

Ujenzi wa reli mpya toka Mpanda mpaka bandari mpya ya Karema ili mizigo inayoenda Lubumbashi na kusini mashariki mwa Congo isilazimike kupitia Zambia, huoni tunaongeza ushawishi?

Meli mpya ziwa Nyasa, Tanganyika, Nyanza na kule bahari ya Hindi, huoni huo ni mkakati wa kuzivuta nchi zote zinazotuzunguka kututegemea sisi?
BTW ulisikia habari za Kenya kuingilia uchaguzi mkuu wetu?? Ni vita kubwa sana inapiganwa amini nakwambia.
Kenya hawakuanza leo, wamekuwa wanatumika sana kutuharibia mambo yetu. Hata hivi karibuni, baada ya kuona tunapata mikopo kutoka AfDB wakampenyeza mtu wao kuwa makamu kule AfDB ili atuwekee kauzibe.
 
Lile bomba la mafuta ya Uganda lililomfanya Uhuru kwenda mpaka Paris na kurudi mikono mitupu unafikiri bila ushawishi wa nje tungeweza?

Tulipo wakarabatia Uganda reli pale portbell na kukarabati meli ya mabehewa ili tuweze kuwashawishi UN kutumia bandari ya Dar kupeleka mizigo yao South Sudan, unafikiri ni siasa za ndani zile?

Ujenzi wa reli mpya toka Mpanda mpaka bandari mpya ya Karema ili mizigo inayoenda Lubumbashi na kusini mashariki mwa Congo isilazimike kupitia Zambia, huoni tunaongeza ushawishi?

Meli mpya ziwa Nyasa, Tanganyika, Nyanza na kule bahari ya Hindi, huoni huo ni mkakati wa kuzivuta nchi zote zinazotuzunguka kututegemea sisi?

Kenya hawakuanza leo, wamekuwa wanatumika sana kutuharibia mambo yetu. Hata hivi karibuni, baada ya kuona tunapata mikopo kutoka AfDB wakampenyeza mtu wao kuwa makamu kule AfDB ili atuwekee kauzibe.
Kudos mkuu

Umenijibu kwa mtazamo mzuri kwa jinsi unavyoona vitu kwa upande wako.

Nimeimiss hii JF ya hivi

Na umenikumbusha kule AfDB zilipigwa spana za kufa na kupona. Tuombe Mungu tu kwakweli
 
Nikiwa Mtanzania mwenye asili ya Somaliland nimefurwhishwa sana na jambo hilo
Hata muheshimiwa Bashe, Kinana, rage na wasomali wengi Tanzania tumefurahi na kuipongeza Kenya kua nchi ya Tatu kututambua baada ya UAE. Ethiopia
Mungu ibariki kenya
Mungu ibariki Somaliland
Kwa nini Somalia yote isiwe nchi moja kama ilivyokuwa kipindi cha Siad Barre ili muweze kuitawala pembe yote ya Africa? Na muweze kuwa na ushawishi katika siasa za dunia. Hamuoni mnagombanishwa na kugawanywa makusudi ili sehemu ile isishikiliwe na dola moja ya kiafrika, yenye nguvu? Unafikiri ni kwa nini pembe yote hiyo inashikiliwa na vinchi vidogo vidongo?
 
Lile bomba la mafuta ya Uganda lililomfanya Uhuru kwenda mpaka Paris na kurudi mikono mitupu unafikiri bila ushawishi wa nje tungeweza?

Tulipo wakarabatia Uganda reli pale portbell na kukarabati meli ya mabehewa ili tuweze kuwashawishi UN kutumia bandari ya Dar kupeleka mizigo yao South Sudan, unafikiri ni siasa za ndani zile?

Ujenzi wa reli mpya toka Mpanda mpaka bandari mpya ya Karema ili mizigo inayoenda Lubumbashi na kusini mashariki mwa Congo isilazimike kupitia Zambia, huoni tunaongeza ushawishi?

Meli mpya ziwa Nyasa, Tanganyika, Nyanza na kule bahari ya Hindi, huoni huo ni mkakati wa kuzivuta nchi zote zinazotuzunguka kututegemea sisi?

Kenya hawakuanza leo, wamekuwa wanatumika sana kutuharibia mambo yetu. Hata hivi karibuni, baada ya kuona tunapata mikopo kutoka AfDB wakampenyeza mtu wao kuwa makamu kule AfDB ili atuwekee kauzibe.
Kwa hivyo Mkenya hastahili kuongoza AFDB? Unaona chuki zenu zilipofikia?
 
The situation is fast escalating. Kuna habari kuwa Somalia National Army (SNA) wanachukua position katika border ya Kenya na Somalia. Sijui wanapanga kufanya nini. Lakini wajue kitu kimoja, wakijaribu kuingia Kenya tutafinya mak*nde zao hadi zipasuke.



Hata hivyo hawana uwezo huo

Watachukua position kwenye mpaka wa mtu ambaye ana wanajeshi wake deep inside your lines???

Hii akili au matope??

Na hii hatua ya UK kwa vyovyote ni namba ya kuwapa Presha SNA na serikali yao kustep up kwenye vita ya Shababs. Nahisi kuna sehem GOK wamegundua serikali/SNA wana mkono ndani ya Shabab....

Anaona ni bora ashirikiane na Somalilandians tu kuliko hao corrupt Somali Gvt

The only way naona wanatoboa ni kurudi kusujudu tu kwa Master Nairobi sio kutishia nyau huko...
 
Kwa hivyo Mkenya hastahili kuongoza AFDB? Unaona chuki zenu zilipofikia?
Sijasema hamstahili ila nyinyi mnaroho za korosho sana. Yule mama alipoenda AfDB tuu, zilianza chokochoko za kuondolewa Adesina, what a coincidence?
 
Back
Top Bottom