Kenya kufungua Ubalozi katika jimbo linalotaka kujitenga na Somalia

Kenya kufungua Ubalozi katika jimbo linalotaka kujitenga na Somalia

The situation is fast escalating. Kuna habari kuwa Somalia National Army (SNA) wanachukua position katika border ya Kenya na Somalia. Sijui wanapanga kufanya nini. Lakini wajue kitu kimoja, wakijaribu kuingia Kenya tutafinya mak*nde zao hadi zipasuke.


Na wewe utakuwa vitani mstari wa mbele wa Escape, F1-F9 sio!? 🙂
 
Hata hivyo hawana uwezo huo

Watachukua position kwenye mpaka wa mtu ambaye ana wanajeshi wake deep inside your lines???

Hii akili au matope??

Na hii hatua ya UK kwa vyovyote ni namba ya kuwapa Presha SNA na serikali yao kustep up kwenye vita ya Shababs. Nahisi kuna sehem GOK wamegundua serikali/SNA wana mkono ndani ya Shabab....

Anaona ni bora ashirikiane na Somalilandians tu kuliko hao corrupt Somali Gvt

The only way naona wanatoboa ni kurudi kusujudu tu kwa Master Nairobi sio kutishia nyau huko...
Hao wanasiasa kutoka nchi ya Somalia wanafanya campaign hapa Nairobi. Wanapenda kuja Nairobi kufanya biashara na kustarehe. Nairobi ni muhimu kwao. Huyo PM wa Somalia Farmaajo anajua kuwa akifanya Kenya iwe adui basi atapata kura nyingi sana kushinda wapinzani wake ambao wote wapo Kenya sasa hivi. Wapinzani wake wanafanya campaign hapa Nairobi na mmoja wao ana campaign headquarters hapa Nairobi. Prime minister Farmaajo anataka kupaint Kenya as the bad guy ili aonekane kama kiongozi anayeweza kuprotect Somalia from other countries. Ni siasa tu
 
Sijasema hamstahili ila nyinyi mnaroho za korosho sana. Yule mama alipoenda AfDB tuu, zilianza chokochoko za kuondolewa Adesina, what a coincidence?
USA ndio wanaotaka kumuondoa Adesina. Tatizo lenu ni kuwa mnaongozwa na chuki hadi mnasingizia Kenya mambo ambayo hayapo. USA kuanzia zamani hawakumpenda Adesina na wamejaribu juu chini kumuondoa hata Kabla ya huyo Mkenya kuchaguliwa.
 
Hao wanasiasa kutoka nchi ya Somalia wanafanya campaign hapa Nairobi. Wanapenda kuja Nairobi kufanya biashara na kustarehe. Nairobi ni muhimu kwao. Huyo PM wa Somalia Farmaajo anajua kuwa akifanya Kenya iwe adui basi atapata kura nyingi sana kushinda wapinzani wake ambao wote wapo Kenya sasa hivi. Wapinzani wake wanafanya campaign hapa Nairobi na mmoja wao ana campaign headquarters hapa Nairobi. Prime minister Farmaajo anataka kupaint Kenya as the bad guy ili aonekane kama kiongozi anayeweza kuprotect Somalia from other countries. Ni siasa tu
Sasa we unaona ni sahihi kampeni za Kenya zikafanywe Kampala!? U okay in your head!?
 
Kwa nini Somalia yote isiwe nchi moja kama ilivyokuwa kipindi cha Siad Barre ili muweze kuitawala pembe yote ya Africa? Na muweze kuwa na ushawishi katika siasa za dunia? Hamuoni mnagombanishwa na kugawanywa makusudi ili sehemu ile isishikiliwe na dola ya kiafrika yenye nguvu? Unafikiri ni kwa nini pembe yote hiyo inashikiliwa na vinchi vidogo vidongo?
Sisi tulikua na nchi yetu na Somalia ilikua nchi tofauti wakati tunapata Uhuru....
Lakini mwaka 1962 tuliamua kuungana muungano ukawa wa ujanja ujanja na wenye kero nyingi afadhali hata ya Zanzibar na Tanganyika kero si nyingi sana
1989 said barre akatunga sheria kandamizi kwa wana Somaliland ikiwemo kupigamarufuku mtu kujenga nyumba nzuri YA GHOROFA kule Hargeisa GHOROFA zote zijengwe Mogadishu tu
Shule zetu ziwe za msingi tu endapo mtoto anataka kusoma sekondari lazima aende Mogadishu
Pia kama alivyo fanya Magufuli baraza la mawaziri kua la watanganyika pekee anafuata nyayo za Said Barre.....
Baada ya hapo alituma majeshi mengi kwenye maeneo yetu kama vile unavyoona majeshi yanavyotumwa Zanzibar kuua kubaka na kupora Mali za watu masikini wasio na hatia
Baada ya hapo Mungu akasikia kilio chetu Yale majeshi yalikua yanatunyayasa na kutudhalilisha.... Viongozi wao wakaita kikao na kujiuliza Hivi sisisi kama jeshi tunaonea watu bure kwa faida ya nani?
Mwaka 1991 jeshi lile lile likiongozwa na Jenerali Farah Aidiid wakapindua serikali Dhalim ya Mogadishu na kutokana na laana ya damu zetu mpaka Leo hawajapata amani tulionayo Sisi
Hivi tunavyo zungumza kuna watu wa Mogadishu wanaishi kwenye makambi ya wakimbizi yaliopo Somaliland
Hilo ni somo kwa Tanganyika pia.... Tusipende kutumia jeshi kudhulumu watu maana hata wanajeshi nao ni Binadamu na wanahisia za huruma
Haya majeshi tunapeleka Zanzibar wakati wa uchaguzi sio wote wanafurahia kuua. Kubaka na kupora Mali za wapemba
 
Sijasema kwamba ni vizuri au ni vibaya. I am just stating facts.
Na mimi nasema its wrong... Maswala ya nchi yasimamiwe na wananchi wakiwa huko huko kwao. Mr. Prime minister is simply paint an obvious bad picture...

Sovereign State should deal with it's issues and decide for itself. Unasikia Coast wanataka kujitenga na Kenya..then usikie Tanzania wanafungua ubalozi mdogo huko as a Kenyan unaichukuliaje Tanzania!?

Doing something wrong for a long time ..doesn't miraculously make it right.. and Kenya MUST Stop.
 
Hao wanasiasa kutoka nchi ya Somalia wanafanya campaign hapa Nairobi. Wanapenda kuja Nairobi kufanya biashara na kustarehe. Nairobi ni muhimu kwao. Huyo PM wa Somalia Farmaajo anajua kuwa akifanya Kenya iwe adui basi atapata kura nyingi sana kushinda wapinzani wake ambao wote wapo Kenya sasa hivi. Wapinzani wake wanafanya campaign hapa Nairobi na mmoja wao ana campaign headquarters hapa Nairobi. Prime minister Farmaajo anataka kupaint Kenya as the bad guy ili aonekane kama kiongozi anayeweza kuprotect Somalia from other countries. Ni siasa tu
Faarmajo keep on blowing hot air.He just left for turkey via JKIA.
Epbe4tnXIAA5_-w.jpg
 
Sisi tulikua na nchi yetu na Somalia ilikua nchi tofauti wakati tunapata Uhuru....
Lakini mwaka 1962 tuliamua kuungana muungano ukawa wa ujanja ujanja na wenye kero nyingi afadhali hata ya Zanzibar na Tanganyika kero si nyingi sana
1989 said barre akatunga sheria kandamizi kwa wana Somaliland ikiwemo kupigamarufuku mtu kujenga nyumba nzuri YA GHOROFA kule Hargeisa GHOROFA zote zijengwe Mogadishu tu
Shule zetu ziwe za msingi tu endapo mtoto anataka kusoma sekondari lazima aende Mogadishu
Pia kama alivyo fanya Magufuli baraza la mawaziri kua la watanganyika pekee anafuata nyayo za Said Barre.....
Baada ya hapo alituma majeshi mengi kwenye maeneo yetu kama vile unavyoona majeshi yanavyotumwa Zanzibar kuua kubaka na kupora Mali za watu masikini wasio na hatia
Baada ya hapo Mungu akasikia kilio chetu Yale majeshi yalikua yanatunyayasa na kutudhalilisha.... Viongozi wao wakaita kikao na kujiuliza Hivi sisisi kama jeshi tunaonea watu bure kwa faida ya nani?
Mwaka 1991 jeshi lile lile likiongozwa na Jenerali Farah Aidiid wakapindua serikali Dhalim ya Mogadishu na kutokana na laana ya damu zetu mpaka Leo hawajapata amani tulionayo Sisi
Hivi tunavyo zungumza kuna watu wa Mogadishu wanaishi kwenye makambi ya wakimbizi yaliopo Somaliland
Hilo ni somo kwa Tanganyika pia.... Tusipende kutumia jeshi kudhulumu watu maana hata wanajeshi nao ni Binadamu na wanahisia za huruma
Haya majeshi tunapeleka Zanzibar wakati wa uchaguzi sio wote wanafurahia kuua. Kubaka na kupora Mali za wapemba
Kaka umekwisha kukaa na Wapemba wakakuthibitishia wanaporwa!? Hapa kariakoo wamejaa tele sijawahi sikia hata mmoja akisema haya.. au hawa wa bara.huku hawana ndugu wala koo Zanzibari!?

Kujitenga kutokana na manyanyaso ni swala moja.. lakini kujitenga hakuondoi umuhimu wa kuwepo kwenye umoja. Umoja huo huo ndio Somaliland inaulilia kutoka kwa international community..

Kwann kama kujitenga kunaleta faida Somaliland isikae tu kimya without ties na wengine wote!? Tunategemeana.. na shida kubwa huwa ni madaraka.. na kukipenda Umimi..

Clearly Tanzania imekupokea na inakuheshimu kama mtanzania na huenda siku moja tutakupa nafasi ya kutuongoza kama Akina Rage na Bashe.. shida ninayoiona hauna mapenzi na nchi hii umo kama haumo.. na kama jamii yenu yote ndivyo ilivyo we are doomed.

Na badala ya kuIdentify na kuishi kama Mtanzania unaishi kama Msomali aliye uhamishoni.. Tofauti hufanyiwa kazi akwa uvumilivu na kuchukuliana ndivyo tunaendelea kukua na kukomaa kwenye muungano..

Haimaanishi shida zote zinakwisha siku moja.. Once a quiter always a Quiter.
 
Kaka umekwisha kukaa na Wapemba wakakuthibitishia wanaporwa!? Hapa kariakoo wamejaa tele sijawahi sikia hata mmoja akisema haya.. au hawa wa bara.huku hawana ndugu wala koo Zanzibari!?

Kujitenga kutokana na manyanyaso ni swala moja.. lakini kujitenga hakuondoi umuhimu wa kuwepo kwenye umoja. Umoja huo huo ndio Somaliland inaulilia kutoka kwa international community..

Kwann kama kujitenga kunaleta faida Somaliland isikae tu kimya without ties na wengine wote!? Tunategemeana.. na shida kubwa huwa ni madaraka.. na kukipenda Umimi..

Clearly Tanzania imekupokea na inakuheshimu kama mtanzania na huenda siku moja tutakupa nafasi ya kutuongoza kama Akina Rage na Bashe.. shida ninayoiona hauna mapenzi na nchi hii umo kama haumo.. na kama jamii yenu yote ndivyo ilivyo we are doomed.

Na badala ya kuIdentify na kuishi kama Mtanzania unaishi kama Msomali aliye uhamishoni.. Tofauti hufanyiwa kazi akwa uvumilivu na kuchukuliana ndivyo tunaendelea kukua na kukomaa kwenye muungano..

Haimaanishi shida zote zinakwisha siku moja.. Once a quiter always a Quiter.
Sorry mkuu may be I was a little bit harsh but that is a reality even if it is very hard to swallow
Mimi ni Proudly Tanzanian but also ninayo haki ya kutahadharusha nchi yangu isijekua kama Somalia
Mkuu wapemba wa kariakoo ni tofauti na wapemba waliopo Wete au Chake Chake hususan wakati wa uchaguzi na ndio maana nyakati hizo tunashuhudia mamia kwa mamia yao wanakuja Bara mpaka uchaguzi upite
Mambo ya uonevu na udhalilishaji wa jamii fulani katika nchi yanamadhara sana na reaction yake hua ni mbaya sana mfano mzuri ni kule Sudan jinsi Albashir alivyokua anawanyanyasa watu wa kusini
Gaddafi alivyo kua anafanya uonevu kule Banghazi
Na Hivi karibu Ethiopia Watigry wanavuna walichopanda kwa kuwanyanyasa waoromo na Wa Eritrean mpaka wakajitenga
Kuhusu wapemba kweli hatuwarendei wema inafikia tunawatumia mpaka vifaru na ndege za kivita kwao
Narudia tena kama tutaendelea kuwaonea kwa sababu ya nguvu zetu ipo siku tutajuta na kusaga meno
That's me to you
Nobody knew Ethiopian Tigris would be in trouble like the way they are now
Fimbo ya mungu haikosi shabaha.
Wenzetu wananyolewa nasi tutie maji?
 
Mi naona hatua hii ni kama ku escalate the situation.

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
The situation is fast escalating. Kuna habari kuwa Somalia National Army (SNA) wanachukua position katika border ya Kenya na Somalia. Sijui wanapanga kufanya nini. Lakini wajue kitu kimoja, wakijaribu kuingia Kenya tutafinya mak*nde zao hadi zipasuke.



Keyboard warriors....
Somalia ni mziki mwingine . Alshabaab imewatoa kamasi hapo mlipo.
 
Ni kinyume cha sheria za kimataifa. Kuonesha uko upande fulani wa pande mahasimu ktk nchi fulani.
 
Back
Top Bottom