Na wewe utakuwa vitani mstari wa mbele wa Escape, F1-F9 sio!? 🙂The situation is fast escalating. Kuna habari kuwa Somalia National Army (SNA) wanachukua position katika border ya Kenya na Somalia. Sijui wanapanga kufanya nini. Lakini wajue kitu kimoja, wakijaribu kuingia Kenya tutafinya mak*nde zao hadi zipasuke.
Hao wanasiasa kutoka nchi ya Somalia wanafanya campaign hapa Nairobi. Wanapenda kuja Nairobi kufanya biashara na kustarehe. Nairobi ni muhimu kwao. Huyo PM wa Somalia Farmaajo anajua kuwa akifanya Kenya iwe adui basi atapata kura nyingi sana kushinda wapinzani wake ambao wote wapo Kenya sasa hivi. Wapinzani wake wanafanya campaign hapa Nairobi na mmoja wao ana campaign headquarters hapa Nairobi. Prime minister Farmaajo anataka kupaint Kenya as the bad guy ili aonekane kama kiongozi anayeweza kuprotect Somalia from other countries. Ni siasa tuHata hivyo hawana uwezo huo
Watachukua position kwenye mpaka wa mtu ambaye ana wanajeshi wake deep inside your lines???
Hii akili au matope??
Na hii hatua ya UK kwa vyovyote ni namba ya kuwapa Presha SNA na serikali yao kustep up kwenye vita ya Shababs. Nahisi kuna sehem GOK wamegundua serikali/SNA wana mkono ndani ya Shabab....
Anaona ni bora ashirikiane na Somalilandians tu kuliko hao corrupt Somali Gvt
The only way naona wanatoboa ni kurudi kusujudu tu kwa Master Nairobi sio kutishia nyau huko...
USA ndio wanaotaka kumuondoa Adesina. Tatizo lenu ni kuwa mnaongozwa na chuki hadi mnasingizia Kenya mambo ambayo hayapo. USA kuanzia zamani hawakumpenda Adesina na wamejaribu juu chini kumuondoa hata Kabla ya huyo Mkenya kuchaguliwa.Sijasema hamstahili ila nyinyi mnaroho za korosho sana. Yule mama alipoenda AfDB tuu, zilianza chokochoko za kuondolewa Adesina, what a coincidence?
Ni wasomali au al shabab ndio wanasumbua ?Somalia ni wajinga, wanasumbua sana. Lazima tuwafunze adabu.
Sasa we unaona ni sahihi kampeni za Kenya zikafanywe Kampala!? U okay in your head!?Hao wanasiasa kutoka nchi ya Somalia wanafanya campaign hapa Nairobi. Wanapenda kuja Nairobi kufanya biashara na kustarehe. Nairobi ni muhimu kwao. Huyo PM wa Somalia Farmaajo anajua kuwa akifanya Kenya iwe adui basi atapata kura nyingi sana kushinda wapinzani wake ambao wote wapo Kenya sasa hivi. Wapinzani wake wanafanya campaign hapa Nairobi na mmoja wao ana campaign headquarters hapa Nairobi. Prime minister Farmaajo anataka kupaint Kenya as the bad guy ili aonekane kama kiongozi anayeweza kuprotect Somalia from other countries. Ni siasa tu
Sijasema kwamba ni vizuri au ni vibaya. I am just stating facts.Sasa we unaona ni sahihi kampeni za Kenya zikafanywe Kampala!? U okay in your head!?
Sisi tulikua na nchi yetu na Somalia ilikua nchi tofauti wakati tunapata Uhuru....Kwa nini Somalia yote isiwe nchi moja kama ilivyokuwa kipindi cha Siad Barre ili muweze kuitawala pembe yote ya Africa? Na muweze kuwa na ushawishi katika siasa za dunia? Hamuoni mnagombanishwa na kugawanywa makusudi ili sehemu ile isishikiliwe na dola ya kiafrika yenye nguvu? Unafikiri ni kwa nini pembe yote hiyo inashikiliwa na vinchi vidogo vidongo?
Na mimi nasema its wrong... Maswala ya nchi yasimamiwe na wananchi wakiwa huko huko kwao. Mr. Prime minister is simply paint an obvious bad picture...Sijasema kwamba ni vizuri au ni vibaya. I am just stating facts.
Faarmajo keep on blowing hot air.He just left for turkey via JKIA.Hao wanasiasa kutoka nchi ya Somalia wanafanya campaign hapa Nairobi. Wanapenda kuja Nairobi kufanya biashara na kustarehe. Nairobi ni muhimu kwao. Huyo PM wa Somalia Farmaajo anajua kuwa akifanya Kenya iwe adui basi atapata kura nyingi sana kushinda wapinzani wake ambao wote wapo Kenya sasa hivi. Wapinzani wake wanafanya campaign hapa Nairobi na mmoja wao ana campaign headquarters hapa Nairobi. Prime minister Farmaajo anataka kupaint Kenya as the bad guy ili aonekane kama kiongozi anayeweza kuprotect Somalia from other countries. Ni siasa tu
Kaka umekwisha kukaa na Wapemba wakakuthibitishia wanaporwa!? Hapa kariakoo wamejaa tele sijawahi sikia hata mmoja akisema haya.. au hawa wa bara.huku hawana ndugu wala koo Zanzibari!?Sisi tulikua na nchi yetu na Somalia ilikua nchi tofauti wakati tunapata Uhuru....
Lakini mwaka 1962 tuliamua kuungana muungano ukawa wa ujanja ujanja na wenye kero nyingi afadhali hata ya Zanzibar na Tanganyika kero si nyingi sana
1989 said barre akatunga sheria kandamizi kwa wana Somaliland ikiwemo kupigamarufuku mtu kujenga nyumba nzuri YA GHOROFA kule Hargeisa GHOROFA zote zijengwe Mogadishu tu
Shule zetu ziwe za msingi tu endapo mtoto anataka kusoma sekondari lazima aende Mogadishu
Pia kama alivyo fanya Magufuli baraza la mawaziri kua la watanganyika pekee anafuata nyayo za Said Barre.....
Baada ya hapo alituma majeshi mengi kwenye maeneo yetu kama vile unavyoona majeshi yanavyotumwa Zanzibar kuua kubaka na kupora Mali za watu masikini wasio na hatia
Baada ya hapo Mungu akasikia kilio chetu Yale majeshi yalikua yanatunyayasa na kutudhalilisha.... Viongozi wao wakaita kikao na kujiuliza Hivi sisisi kama jeshi tunaonea watu bure kwa faida ya nani?
Mwaka 1991 jeshi lile lile likiongozwa na Jenerali Farah Aidiid wakapindua serikali Dhalim ya Mogadishu na kutokana na laana ya damu zetu mpaka Leo hawajapata amani tulionayo Sisi
Hivi tunavyo zungumza kuna watu wa Mogadishu wanaishi kwenye makambi ya wakimbizi yaliopo Somaliland
Hilo ni somo kwa Tanganyika pia.... Tusipende kutumia jeshi kudhulumu watu maana hata wanajeshi nao ni Binadamu na wanahisia za huruma
Haya majeshi tunapeleka Zanzibar wakati wa uchaguzi sio wote wanafurahia kuua. Kubaka na kupora Mali za wapemba
Hahaha. These Somalis need Kenya so much. Yaani huyu mtu ambaye amevunja mahusiano kati ya Somalia na Kenya bado anatumia airport yetu? He should be banned from stepping foot in Kenya. He should be declared persona non grata.Faarmajo keep on blowing hot air.He just left for turkey via JKIA.
View attachment 1652243
Sorry mkuu may be I was a little bit harsh but that is a reality even if it is very hard to swallowKaka umekwisha kukaa na Wapemba wakakuthibitishia wanaporwa!? Hapa kariakoo wamejaa tele sijawahi sikia hata mmoja akisema haya.. au hawa wa bara.huku hawana ndugu wala koo Zanzibari!?
Kujitenga kutokana na manyanyaso ni swala moja.. lakini kujitenga hakuondoi umuhimu wa kuwepo kwenye umoja. Umoja huo huo ndio Somaliland inaulilia kutoka kwa international community..
Kwann kama kujitenga kunaleta faida Somaliland isikae tu kimya without ties na wengine wote!? Tunategemeana.. na shida kubwa huwa ni madaraka.. na kukipenda Umimi..
Clearly Tanzania imekupokea na inakuheshimu kama mtanzania na huenda siku moja tutakupa nafasi ya kutuongoza kama Akina Rage na Bashe.. shida ninayoiona hauna mapenzi na nchi hii umo kama haumo.. na kama jamii yenu yote ndivyo ilivyo we are doomed.
Na badala ya kuIdentify na kuishi kama Mtanzania unaishi kama Msomali aliye uhamishoni.. Tofauti hufanyiwa kazi akwa uvumilivu na kuchukuliana ndivyo tunaendelea kukua na kukomaa kwenye muungano..
Haimaanishi shida zote zinakwisha siku moja.. Once a quiter always a Quiter.
Mi naona hatua hii ni kama ku escalate the situation.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Keyboard warriors....The situation is fast escalating. Kuna habari kuwa Somalia National Army (SNA) wanachukua position katika border ya Kenya na Somalia. Sijui wanapanga kufanya nini. Lakini wajue kitu kimoja, wakijaribu kuingia Kenya tutafinya mak*nde zao hadi zipasuke.
Mnataka kuwalipia kisasi mabeberu USA waliofurumudhwa kwa aibuHaka Kasomalia tutakachapa sana.