Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Dah kweli niamini Waafrika tulikuwa sokwe 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kweli niamini Waafrika tulikuwa sokwe 😂
Basi tutegemee malalamiko ya ongezeko la maambukizi ya magonjwa ya zinaa.Huku TZ nahisi watu hawazitumii vile hujasikia malalamiko ya upungufu wake.
Sio wabaki wazungu tu, bali na baadhi ya waafrika wenye kujitambua.Ewaaa safi sana wacha waafrica tufe wabaki wazungu wanaostahili kuwepo duniani
Mbona sokwe bado wapo, kwa nini wao hawajawa waafrika - binadamu?
Mwafrica anayejitambua kashakufaSio wabaki wazungu tu, bali na baadhi ya waafrika wenye kujitambua.
Vipi kuhusu wewe? Au wewe sio mwafrika?Mwafrica anayejitambua kashakufa
Mie mwafrika lakini mie najijua kabisa sina akili....akili niliyonayo yatosha kubuka barabara salama na kujua mbususu ikojeVipi kuhusu wewe? Au wewe sio mwafrika?
Siyo sababuMijitu inazaa hovyo hovyo tu.
Ni sababu.Siyo sababu
Mkuu una uhakika tukiongozwa na viongozi wenye weredi na maarifa ya kina kuzaa itakuwa sababu?Ni sababu.
Sasa kama population ya watu inaongezeka kila siku na mahitaji madogo madogo tu bado yanatushinda.
Sasa unategemea nini hapo?
Kama kondomu tu zinatushinda, ndio tutaweza madawa na vifaa tiba?
Bado vituo vya afya?
Hivi nani anayeaminisha watu "ujinga" kwamba Uchina washawahi kuwa hoe hae kihivyo? Unaanzaje kufananisha taifa lenye historia lenye zaidi ya miaka maelfu na nchi yenye miaka 100+?Mkuu una uhakika tukiongozwa na viongozi wenye weredi na maarifa ya kina kuzaa itakuwa sababu?
Nchi ambayo haiifikii hata china kwa populationi ya watu?
Siyo viongozi tu.Afrika ni bara lenye viongozi wasio na akili
Kemeeni ufisadi kwanza baada ya hapo tuone tatizo jingine lipi ni kubwa zaidi la kushughulika nalo.Hivi nani anayeaminisha watu "ujinga" kwamba Uchina washawahi kuwa hoe hae kihivyo? Unaanzaje kufananisha taifa lenye historia lenye zaidi ya miaka maelfu na nchi yenye miaka 100+?
Kama hamuoni hasara ya kuzaliana hovyo basi tutaiona mbeleni kwa njia ngumu zaidi.
View: https://youtu.be/uULa9h0BW9c?si=ZS0SywxfHssnT_DK
Waafrika tuna ujuha wa ajabu sana.
Yaani kumbe hata hiyo mipira tunasaidiwa.
View: https://youtu.be/uULa9h0BW9c?si=ZS0SywxfHssnT_DK
Waafrika tuna ujuha wa ajabu sana.
Yaani kumbe hata hiyo mipira tunasaidiwa.
Mkuu SRG imegharimu 20 Trillion tzs. Hicho kitu kinaniuma.Viongozi wa afrika ni wa kupasua vichwa ili tuone wana tumia ubongo wa aina gani.
kutwa wana purchase ma ndiga, ila uki muuliza vyoo vya shule mbona bado?.
ata kwambia subiri USAID
Kuna PEP condom ya nini?Huku TZ nahisi watu hawazitumii vile hujasikia malalamiko ya upungufu wake.