Kenya kununua mashine ya kukagua ubora wa gesi inayotoka Tanzania

Kenya kununua mashine ya kukagua ubora wa gesi inayotoka Tanzania

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Kenya imetangaza kwamba itanunua mashine mpya ya kukagua ubora wa gesi inayotoka Tanzania kuingia nchini humo.

Vifaa hivyo vitawekwa kwenye maeneo ya mipakani ili kukagua gesi ya kupikia inayosafirishwa kwa barabara.

Awali Tanzania ililalamikia Kenya kwamba gesi yake imekuwa ikizuiwa kwenye maeneo ya mipakani na hivyo kuathiri biashara.

Tume ya kuratibu kawi nchini Kenya ERC imesema mashine moja itagharimu kati ya dola $100,000 na $400,000.

Ndani ya miezi miwili iliyopita Kenya imezuia tani 4,000 za gesi ya kupikia kutoka Tanzania kuingia Kenya katika kituo cha mpakani cha Namanga.
6f17dd28c1ac58447fa46ccca37fa054.jpg
 
Kenya imetangaza kwamba itanunua mashine mpya ya kukagua ubora wa gesi inayotoka Tanzania kuingia nchini humo.

Vifaa hivyo vitawekwa kwenye maeneo ya mipakani ili kukagua gesi ya kupikia inayosafirishwa kwa barabara.

Awali Tanzania ililalamikia Kenya kwamba gesi yake imekuwa ikizuiwa kwenye maeneo ya mipakani na hivyo kuathiri biashara.

Tume ya kuratibu kawi nchini Kenya ERC imesema mashine moja itagharimu kati ya dola $100,000 na $400,000.

Ndani ya miezi miwili iliyopita Kenya imezuia tani 4,000 za gesi ya kupikia kutoka Tanzania kuingia Kenya katika kituo cha mpakani cha Namanga.
6f17dd28c1ac58447fa46ccca37fa054.jpg
ina maana gesi yetu haina ubora mpaka wafikie hapo?
 
ina Maana Wakenya hawatuamini Watanzania? interesting...hatuwezi kuwauzia gesi feki/mbaya
 
Kenya imetangaza kwamba itanunua mashine mpya ya kukagua ubora wa gesi inayotoka Tanzania kuingia nchini humo.

Vifaa hivyo vitawekwa kwenye maeneo ya mipakani ili kukagua gesi ya kupikia inayosafirishwa kwa barabara.

Awali Tanzania ililalamikia Kenya kwamba gesi yake imekuwa ikizuiwa kwenye maeneo ya mipakani na hivyo kuathiri biashara.

Tume ya kuratibu kawi nchini Kenya ERC imesema mashine moja itagharimu kati ya dola $100,000 na $400,000.

Ndani ya miezi miwili iliyopita Kenya imezuia tani 4,000 za gesi ya kupikia kutoka Tanzania kuingia Kenya katika kituo cha mpakani cha Namanga.
6f17dd28c1ac58447fa46ccca37fa054.jpg
Kwenye mahindi, zabibu na vingine wanavyonunua kwa wizi na magendo watanunua mashine ya kukagua? Au ni gesi tu? Kuwa na Jirani kama huyu ni adha kwa kweli. cc: MK 254

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naona jirani kaamua kuufyata!

A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
 
Kwenye mahindi, zabibu na vingine wanavyonunua kwa wizi na magendo watanunua mashine ya kukagua? Au ni gesi tu? Kuwa na Jirani kama huyu ni adha kwa kweli. cc: MK 254

Post sent using JamiiForums mobile app

Hayo magesi yenu yanatulipukia, tatizo Wabongo mnapenda utapeli na ukajanja mwingi, vipi vichwa vya treni vilivyowaibukia bandarini mlivipeleka wapi au yaliishaje.
Mashini lazima tuweke za kuhakikisha ubora wa gesi inayotoka kwenu maana mnachakachua na kuhatarisha maisha ya Wakenya, nyie ni majirani ambao lazima kuwa makini nanyi hatua kwa hatua, neno kwa neno.
 
Zabibu za Dodoma hatutawauzia tena, mbaki mnaziona Zabibu kwenye pictures
 
Maana yake ni kwamba hawakubali bidhaa kutoka Tanzania kwa asilimia 100%.. Achilia mbali gesi
Kenya wanataka wawe maboss wetu tena hata kwa lazima. Sheeda sana

Post sent using JamiiForums mobile app
 
ina maana gesi yetu haina ubora mpaka wafikie hapo?

Standards za gesi Ni tofauti mkuu. Gesi ya TZ huwa na propane nyingi sana inayosababisha iwe risky. Hata hivyo, Ni nafuu zaidi kushinda ya Kenya. Tena wakati mwingine gesi yenyu huwa haina harufu ya "rotten egg" na kuifanya iwe hatari kwani kukiwa na leakage MTU nyumbani hawezi akajua .
 
Hayo magesi yenu yanatulipukia, tatizo Wabongo mnapenda utapeli na ukajanja mwingi, vipi vichwa vya treni vilivyowaibukia bandarini mlivipeleka wapi au yaliishaje.
Mashini lazima tuweke za kuhakikisha ubora wa gesi inayotoka kwenu maana mnachakachua na kuhatarisha maisha ya Wakenya, nyie ni majirani ambao lazima kuwa makini nanyi hatua kwa hatua, neno kwa neno.
Msitafute Mohawi yupo huko huko kwenu mbona sisi tunatumia na haina madhara? Kama vipi agizeni Zambia kama mlivyoagiza mahindi [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom