Kenya kununua mashine ya kukagua ubora wa gesi inayotoka Tanzania

Kenya kununua mashine ya kukagua ubora wa gesi inayotoka Tanzania

Standards za gesi Ni tofauti mkuu. Gesi ya TZ huwa na propane nyingi sana inayosababisha iwe risky. Hata hivyo, Ni nafuu zaidi kushinda ya Kenya. Tena wakati mwingine gesi yenyu huwa haina harufu ya "rotten egg" na kuifanya iwe hatari kwani kukiwa na leakage MTU nyumbani hawezi akajua .

Hizi taarifa kuhusu utofauti wa propane zilitolewa kitaalam na zikaeleweka, lakini hawa bado wakajtoa ufahamu na kuendelea kulialia, inabidi kupelekeshana nao jinsi walivyo, hamna haja ya kupoteza muda ili kuwapa majibu ya kitaalam, ndio zao hawa.
 
Unachosema hukijui
Wewe unayejuwa mbona unejificha nyuma ya mlago? What is so special to test gas or gas cylinder, kwani watanzania wameshidwa to test their own gas. Mbona sisi tunatumia the same gas bila ya matatizo yoyote. Mnacheza sarakasi msizoziweza.
 
Wewe unayejuwa mbona unejificha nyuma ya mlago? What is so special to test gas or gas cylinder, kwani watanzania wameshidwa to test their own gas. Mbona sisi tunatumia the same gas bila ya matatizo yoyote. Mnacheza sarakasi msizoziweza.

Nimeandika hapo na MK254 amekuambia huskii. Kila nchi ina standards zake. EAC si EU. Kwanini Kenya tunaagiza magari tofauti na Nyinyi ikiwa standards zetu ni sawa? Tatizo lako na wengine kama wewe ni kuleta ubishi pasipo ubishi hadi mnafanya Jamii Forums inakuwa jukwaa Toxic sana.
 
Nimeandika hapo na MK254 amekuambia huskii. Kila nchi ina standards zake. EAC si EU. Kwanini Kenya tunaagiza magari tofauti na Nyinyi ikiwa standards zetu ni sawa? Tatizo lako na wengine kama wewe ni kuleta ubishi pasipo ubishi hadi mnafanya Jamii Forums inakuwa jukwaa Toxic sana.

Hivi wewe unafikiri kabla ya kuandika, nini maana ya neno uwiyano (harmonization). Maboss wa EAC barue of standard wanongeaga nini wakikuta pale Arusha?

BTW, kunatofauti gani kubwa ya magari yanayouzwa Kenya na yanayouzwa Tanzania? Kama ingekuwa hivyo ungeona magari ya Kenya yanaigia Tanzania au ya Tanzania yanaingia Kenya?
 
Hivi wewe unafikiri kabla ya kuandika, nini maana ya neno uwiyano (harmonization). Maboss wa EAC barue of standard wanongeaga nini wakikuta pale Arusha?

BTW, kunatofauti gani kubwa ya magari yanayouzwa Kenya na yanayouzwa Tanzania? Kama ingekuwa hivyo ungeona magari ya Kenya yanaigia Tanzania au ya Tanzania yanaingia Kenya?

Kwa comment hiyo, basi kajibambe. Hata mazuzu wa JF wanajua. Ingekuwa umeuliza swali bila kujidai mjuaji, ningekueleza. Kwa kuwa we ni mjuaji, sawa basi
 
Kwa comment hiyo, basi kajibambe. Hata mazuzu wa JF wanajua. Ingekuwa umeuliza swali bila kujidai mjuaji, ningekueleza. Kwa kuwa we ni mjuaji, sawa basi
Pale miraa inapokolea, hata policy moja ya EAC hujuwi unatujazia server tu hapa.
 
Standards za gesi Ni tofauti mkuu. Gesi ya TZ huwa na propane nyingi sana inayosababisha iwe risky. Hata hivyo, Ni nafuu zaidi kushinda ya Kenya. Tena wakati mwingine gesi yenyu huwa haina harufu ya "rotten egg" na kuifanya iwe hatari kwani kukiwa na leakage MTU nyumbani hawezi akajua .
Kweli wakenya gas kwenu bado ni extraordinary
 
Samahani kwa watz wenzangu hiyo gesi tunayopeleka Kenya kwa mitungi ndo zile inayoingia bandarini au ndo ile inazalishwa Mtwara?
 
Samahani kwa watz wenzangu hiyo gesi tunayopeleka Kenya kwa mitungi ndo zile inayoingia bandarini au ndo ile inazalishwa Mtwara?

Gesi mnayoleta Ni ile ya kuagiza sio yenu. Hili ndio lilikua jambo ambalo Kenya walikua na shida NATO. Itakuwaje tz kuagiza gesi kupitia bandari ya Mombasa kisha kuirudisha Kenya tena (kuna kiwango Fulani hupitia Mombasa.)

Gesi mnayozalishi mtwara Ni industrial na haiwezi tumika domestically kwa nyumba
 
Gesi mnayoleta Ni ile ya kuagiza sio yenu. Hili ndio lilikua jambo ambalo Kenya walikua na shida NATO. Itakuwaje tz kuagiza gesi kupitia bandari ya Mombasa kisha kuirudisha Kenya tena (kuna kiwango Fulani hupitia Mombasa.)

Gesi mnayozalishi mtwara Ni industrial na haiwezi tumika domestically kwa nyumba
Ina maana nyie hamuwezi kuagiza ya kwenu?
 
Gesi mnayoleta Ni ile ya kuagiza sio yenu. Hili ndio lilikua jambo ambalo Kenya walikua na shida NATO. Itakuwaje tz kuagiza gesi kupitia bandari ya Mombasa kisha kuirudisha Kenya tena (kuna kiwango Fulani hupitia Mombasa.)

Gesi mnayozalishi mtwara Ni industrial na haiwezi tumika domestically kwa nyumba
Tunaagiza gesi kupitia bandari ya Mombasa? Alafu tunawauzia? Iyo miraa punguza buda.
 
Ina maana nyie hamuwezi kuagiza ya kwenu?

Sijui kama unauliza kiubishi au ndio ujue? Gesi inaagizwa Kenya na Tanzania. Standards za gesi Ni tofauti. Kwahivyo bei ya gesi tz Ni cheaper kushinda ya Kenya. kwa sababu hakuna mashine ya kupima kiwango cha propane kwenye boda ya namanga, wafanyibiashara waovu wanarudisha poor quality gas kurudi Kenya.
 
Sijui kama unauliza kiubishi au ndio ujue? Gesi inaagizwa Kenya na Tanzania. Standards za gesi Ni tofauti. Kwahivyo bei ya gesi tz Ni cheaper kushinda ya Kenya. kwa sababu hakuna mashine ya kupima kiwango cha propane kwenye boda ya namanga, wafanyibiashara waovu wanarudisha poor quality gas kurudi Kenya.
Lengo la kuuliza ni kutaka kujua ni kwa nini Kenya isiagize gesi yake yenyewe na badala yake inunue gesi iliyoagizwa na Tanzania.
Ni kitu gani kinazuia Kenya kuagiza gesi yake yenyewe?
 
Lengo la kuuliza ni kutaka kujua ni kwa nini Kenya isiagize gesi yake yenyewe na badala yake inunue gesi iliyoagizwa na Tanzania.
Ni kitu gani kinazuia Kenya kuagiza gesi yake yenyewe?

Kenya ina uwezo wa kununua gesi yake kupitia badari ya Mombasa. Sisi hununua gesi kutoka nje. Tatizo ni kuwa gesi yetu huwa ya bei ghali kushinda yenu. Kwa hivyo, wafanyi biashara walaghai kutoka TZ, wanashirikiana na wafanyi biashara walaghai kutoka kenya ambao wana tamaa kuuza hii gesi iliyojaa propane ili wapate faida kubwa. Wanafanya hivi kwa kuwa hakuna mashine ya kupima ubora wa gesi katika mpaka wa Kenya na TZ. Hili ndilo limefanya serikali ya Kenya kusema wataweka mashine hii kwenye mpaka wa Kenya na TZ ili waweze kupima ubora wa hii gesi na kutohatarisha maisha ya wakenya. Nina uhakika kuwa tutakapoweka mashine hii hapo mpakani, importation ya gesi kutoka TZ itapungua kwa kiwango kikubwa sana.
 
Kenya ina uwezo wa kununua gesi yake kupitia badari ya Mombasa. Sisi hununua gesi kutoka nje. Tatizo ni kuwa gesi yetu huwa ya bei ghali kushinda yenu. Kwa hivyo, wafanyi biashara walaghai kutoka TZ, wanashirikiana na wafanyi biashara walaghai kutoka kenya ambao wana tamaa kuuza hii gesi iliyojaa propane ili wapate faida kubwa. Wanafanya hivi kwa kuwa hakuna mashine ya kupima ubora wa gesi katika mpaka wa Kenya na TZ. Hili ndilo limefanya serikali ya Kenya kusema wataweka mashine hii kwenye mpaka wa Kenya na TZ ili waweze kupima ubora wa hii gesi na kutohatarisha maisha ya wakenya. Nina uhakika kuwa tutakapoweka mashine hii hapo mpakani, importation ya gesi kutoka TZ itapungua kwa kiwango kikubwa sana.
 
Jamani mwenye kujua hivi ni kweli gas inayozalishwa mtwara haifai kwa matumizi ya nyumbani ni special kwa viwanda tu mwenye kujua atuambie

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom