Kenya kupambana na funza, na imeanzisha kampeni kubwa.

Mmemaliza za kwenu???
 
Kipaumbele mwaka jana Kenya ilipambana na kunguni na mwaka huu kenya itapambana na chawa na msisahau mapambano ya alshabaab pia yanaendelea.
 
Waah... Si Mabashite watokwa povu kweli? Duh! Watu wa kuforge hadi vyeti vya kipaimara.......
 
Mtu akikutamkia 'Mashusi au mashauo' ujue huyo ni Freemason. Haina uhusiano kabisa na ukatilikj.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…