Kenya kuwa na Marais 2, Muungano wa Upinzani NASA watishia kumuapisha Raila Odinga kama Rais

Kenya kuwa na Marais 2, Muungano wa Upinzani NASA watishia kumuapisha Raila Odinga kama Rais

Mkuu from tarehe nane nafatilia uchaguzi WA Kenya tangia ule uchaguzi WA kwanza....msisikilize zile taarifa za sekunde mbili za ITV na TBC mkadhan mnainfo ya kujitosheleza...
Nampenda Uhuru sana awe rais kwa miaka mitano tena, ila kwa upumbafu anaoufanya kwa mtu wenye akili nzuri huwezi sapoti.mkuu techolojia ni kubwa mno ,watu walio jitokeza kwa uchaguzi WA marudio ni kati ya asilimia 22~33 ya watu million 19 waliojiandikisha kupiga kura.kwa hiki wanachokifanya ni ujinga WA kiwango cha lami kuudanganya ulimwengu kuwa Uhuru kapata kura almost milion Tisa sasa.yaani hii imemvua Nguo kuonesha ni jinsi gani kule kwenye server wanavyo ichezea.
Mkuu kwa logic ndogo tu ,hata Uhuru angepata kura laki moja ni halali yake na angeapishwa kwasababu watu hawalazimishwi kupiga kura ,sasa hizi manipulations anafanya kwa faida ya nani na ili iweje????
Watu kwenye vituo vya kupiga kura unaona kabisa hawapo ,halafu eti mtu anakwambia mifumo ilikuwa fasta sana watu walikuwa wakija wanavote fasta kwa sekunde chache na kuondoka, ndiyo maana kulikuwa hakuna foleni na watu watu vituoni. Kweli Leo ndiyo mifumo imekuwa fastaa????
KWA SISI WAPENDA HAKI ,HATA KAMA UNAONA RAFIKI YAKO ANAKOSEA HUWEZI KUSAPOTI UJINGA ANAOFANYA ETI KISA UNAMPENDA UKAFUMBIA MACHO UJINGA ANAOFANYA ,MWAMBIE UKWELI. LET'S CALL A SPADE , SPADE...NOT A SPOON.
Uhuru ana kura 7.4m polling stations kadhaa tu ndo zimebakia..uchaguzi uliopita alkua na 8.4m turnout inachezea 40% ata citizen tv na zingine walifanya tallying kivyao ya forms na wamethibitisha hio 7.4m.. . ...ata hivyo turnout ikiwa 40% haimanisha hio 60% imebakia ni wafuasi wa NASA(utakua mjinga wa mwisho ukidhania ivo), kuna wafuasi wengi wa jubilee pia hawakupiga kura kutokana na sababu kadhaa
 
Uhuru alishasema kama kuna yeyote anataka kuleta vurugu Kenya hii atatambua kuwa Kenya iko na Rais, na Rais ndio Mimi!! Kwa ujinga huu wa NASA wasifikri Uhuru huwa anajaribiwa! Cha moto watakiona!! Kwisha habari ya RAO!!
 
hivi Raisi huapishwa na Jaji mkuu? ina maana jaji mkuu huyo huyo amwapishe Uhuru aafu tena amwapishe Raila au ataapishwa na James Orengo kamada wake..
Au na Jaji mkuu wanae wa kwao...Raila kama vile kavurugwo...akimbilie mahakamani hii kulia mara hiki mara kile na ushahidi haleti wa kueleweka ni kujichosha..
Wakenya mtegemee kumchangia tena maana zile za mara ya kwanza mlizonga baada ya hukumu ya mahakumu kuu naona zinaelekea mwishoni..
 
Kamata hii odinga tundika virungu vya kutosha weka ndani, kelele zooote hizi kwisha.
 
Back
Top Bottom