simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Current ,siyo ajabu kucheza hapo hapo muda murefu tuu.Mwaka gani hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Current ,siyo ajabu kucheza hapo hapo muda murefu tuu.Mwaka gani hii?
Mwaka jana tulikuwa kwenye megawatts zaidi ya 1,500Current ,siyo ajabu kucheza hapo hapo muda murefu tuu.
Waulize wakenya waliopo tz watakuambia tz umeme aukatiki ovyo tangu magufuli kuwa raisi na ukikatika ujue kuna upgrade inafanyikaSisi ni Dona kantri [emoji3]
Tanzania has the best doctors and best Hospitals, just behind South Africa in the continental [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Apart from the above, the biggest strength that kenya has over other sub saharan african countries is education apart from botswana. south africa is highly dependent on the skills of the minority white people and indians(if they leave south africa will become Tanzania), the black south africans are equally as incompetent as their Tanzanian counterparts but we can excuse them because they just recently over threw an apartheid system.
Naona nyani iko jikoni ikikaanga vitumbua
Kumbuka kwamba World Bank hupata hizo taarifa toka kwa waziri, wao hawana wawakilishi huko vijijini kujua na kufuatilia kila mwaka, mara nyingi huwa wanauhisha taarifa zao kila baada ya kipindi cha miaka kadhaa. Ninauhakika hii data walipotumia ni taarifa ya mwaka 2016/17, bada hawajakusanya za mwaka 2019/20.Mkuu kati ya World Bank ambao huwapa mikopo ya miradi hii ya umeme na Waziri toka Republic of Magufulistan, ambapo kuna sheria za takwimu unataka tumuamini nani?
Credible source ni Energypedia au World Bank. Ila hulazimishwi, ikiwa unamkubali bwana waziri ni sawa pia.
Truth hurts
Now look at this blatant lie! You guys clearly live in your own parallel universe.Tanzania has the best doctors and best Hospitals, just behind South Africa in the continental [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]ila utani wa wabongo na wakenya unafurahisha.Wakisikia Tanzania inaongoza kila eneo wanapatwa na " Premature ejaculation", [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya stieglers kuna miradi ya gas pale kinyerezi ambayo ittaboost pia, mwaka huu tu gas itaongeza zaidi ya 200MWNo, it was 2019 not 2016, in 2020 it has increased to 1602 MW. Hopes are pegged on stiegler's dam to produce about 2100 MW but it will not be completed anytime soon.
Mawazo yake tu hayo mteme. ..1.Diwani CCM amewasilisha mahakamani ombi la uchaguzi uhairishwe mwaka huu.
2. Mgao wa umeme Tanzania ni kawaida so your 70+% ni uongo mtupu...you mean 1350MW has been distributed to Citizens? What about viwonder vyenu kwani zinatumia nguvu ya wanyama badala ya umeme?
Yani umepewa facts hadi unachange gear hewaniWewe ndio unatakiwa usome ubadilike uachane na ukabila,
Unafika hadi university lakini bado unabagua wengine kisa ukabila [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hiyo elimu ina faida gani!
Source pleaseTanzania has the best doctors and best Hospitals, just behind South Africa in the continental [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
World bank hawaokoti na kuchapisha chochote wanachopandikiziwa bana..Kumbuka kwamba World Bank hupata hizo taarifa toka kwa waziri, wao hawana wawakilishi huko vijijini kujua na kufuatilia kila mwaka, mara nyingi huwa wanauhisha taarifa zao kila baada ya kipindi cha miaka kadhaa. Ninauhakika hii data walipotumia ni taarifa ya mwaka 2016/17, bada hawajakusanya za mwaka 2019/20.
Waziri amesema wazi kwamba mwishoni mwa 2015, vijiji vilivyokua na umeme vilikua 2,000 tu kati ya vijiji vyote 12,000, ndani ya miaka minne wamiunganisha vijiji 6,000 na kuifikisha jumla ya vijiji 8,000. Kwasababu hii taarifa imetolewa na waziri, ni kauli ya serikali, Kama kuna mtu au shirika lolote lina mashaka yoyote, wanapaswa kwenda na kupata ufafanuzi toka serikalini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nevertheless it doesn't exclude the fact KPL failed to provide power as a first option!Sometime kaa ukitumia akili, yani hivi wewe US embassy inakosa backup generator kwel eti hadi walalamikie umeme na kuanza kuingia twitter ku post upupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio hutumii akili, Generator ni kwa ajili ya matumizi ya emergency tu na kwa siku chache, Kama tatizo linaendelea kwa muda mrefu, lazima wapunguze masaa ya Kazi.Sometime kaa ukitumia akili, yani hivi wewe US embassy inakosa backup generator kwel eti hadi walalamikie umeme na kuanza kuingia twitter ku post upupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo WB wanakwenda vijijini na kuhesabu kila kijiji kilichowekewa umeme?. Mbona makadiria ya kukua uchumi wa Tanzania yalikaribiana na makadiria ya serikali kuliko ya IMF na wenyewe walikubaliana na serikali?World bank hawaokoti na kuchapisha chochote wanachopandikiziwa bana..
Km ni hvo si wangelianza na pale kw ukuaji wa uchima hamkwenda sambamba ki data
Sent using Jamii Forums mobile app