Subir huku yako! ila watu wengine wabishi hii si nisawa nakusubir goli lirudishwe wakat wa kipindi cha michezoMhmmmmmm! Bado ndo hukumu inasomwa hawajatoa hukumu ya mwisho
Uliza vijana wa IT wa mamvi? Sijui kwa nini hawakumyongwa wale vijana. Kumbuka, baadhi yao walitoka kenya!Pole pole una cha kujifunza hapa