KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Sema tu kwamba na wewe nyumbu unaona aibu kwa jinsi mgombea wenu alivyopokonywa ushindi. Mlimkosoa hapa na kumdhihaki Raila Odinga na kumwandika vibaya Leo yamewakuta mnaona aibu.
Wewe ndiye mpuuzi...una reference yangu kusema huo upuuzi aliposhinda uhuru?Aliposhinda Uhuru oh wenzetu wapo juu. Na sasa mahakama imetengua ushindi huo oh wenzetu wako juu. Upuuzi mtupu.
pagumu sana hapo..atapigwa out kwa vote of no confidenceHivi Raila Akishinda Ataongozaje nchi ikiwa ana wabunge na Magavana Wachache
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa na kichaa wewe kwani ni uongo mauaji ya kibiki yalikuwa hayatokei ?!! Kwa ushauri wako ulitaka waandike vipi suala la kibiti!Nimekuwa nalituhumu Gazeti la Mwananchi na Kampuni ya Nation Media Group unayotaka Magazeti ya The Citizen na The East African jinsi yanavyoandika ovyo taarifa zinazohusu Tanzania hasa Serikali hata kama jambo ni la kawaida wanalifanya kama ni baya kutokea.
Waliandika karibia kila siku kwenye front pages taarifa za mauaji ya Kibiti na kutoa makala mbili juu ya mauaji hayo. Hata hivyo, Wakenya wamekuwa wakiuuawaila kwenye uchaguzi, wanatuficha taarifa huru wanaandika zilizotolewa na mamlaka lakini hakuna sehemu wameandika taarifa ya uchunguzi juu ya mauaji hayo.
Hata kifo cha Msando wa IEBC hawakukipa nafasi muhimu kwenye taarifa zao licha ya kilo hicho kuonekana wazi kimetendwa na Serikali.
Sasa nasubiri kuona watakavyoandika taarifa za uchaguzi kurudiwa ndio wao be Ainu kwa madudu yote waliyoandika dhidi ya Odinga.
Hata ukirudiwa ushindi ni wa KenyattaSema tu kwamba na wewe nyumbu unaona aibu kwa jinsi mgombea wenu alivyopokonywa ushindi. Mlimkosoa hapa na kumdhihaki Raila Odinga na kumwandika vibaya Leo yamewakuta mnaona aibu.
Si uende huko Kenya basi, povu la nini?Wewe ndiye mpuuzi...una reference yangu kusema huo upuuzi aliposhinda uhuru?
Sent from my TV
Source of information?The Supreme Court has nullified President Uhuru Kenyatta's win. - The final verdict was announced on Friday, August 31, by the six judges. - The Supreme Court found that the Independent Electoral and Boundaries Commission carried out an election marred with illegalities.
commred Chichimizi
Hata ukirudiwa ushindi ni wa Kenyatta