Ndo process za kidemokrasia.Habari wanajamvi....
Hukumu ya kupinga matokeo ya Urais Kenya inatolewa now Look azam two.....
Majaji wanatolea maelezo hoja za pande zinazohusika katika kesi...
Kenya wameonesha demokrasia kubwa sanaaaaaaaaa,Big up Kenya....
Huku kwetu kupinga tu ya Ubunge n kizungu Mkuti......
Hapo ndo naona Odinga anapoteza mudaKabla ya huu uchaguzi nani alikuwa Rais wa kenya?
Jiulize Rais wa Kenya Sasa ni Nani?Hahahaha... Magufuli kafanya yake Kenya
......
Kuna demokrasia ya kweli.Kwahiyo Odinga ameshinda homa yake kuwa mfumo wa computer za tume ulipigwa changa la macho na hacker's...?? Aisee Kenya mahakama zao ziko more advanced kuliko zote EAC
Wewe kweli nyani mzee hata hukumbuki kuwa juzi ulikuwa unashangilia Uhuru kushinda!
Kwahiyo Odinga ameshinda homa yake kuwa mfumo wa computer za tume ulipigwa changa la macho na hacker's...?? Aisee Kenya mahakama zao ziko more advanced kuliko zote EAC