KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Majaji wametoa reason gani hadi wamefuta huko hebu tupe habari kamili
 
Mahakama imeufuta uchaguzi wa kenya kwa kua ulikua na dosari kubwa muda mfupi uliopita naamini kuna la kujifunza kwa hawa jirani zetu haswa serkali na mahakama zetu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka pale wanasiasa wa Tanzania na wananchi kwa ujumla watakapofahamu kuwa democrasia ndio yaleta maendeleo katika nchi hapo ndipo tutakuwa tumejitawala,lakini haya yanayoendelea hivi sasa Tanzania ni sawa na utawala wa kikoloni wenye sura ya mwafrika..

Wakenya wako mbele kiuchumi,kimawazo na sasa wametuonyesha mpaka kwa demokrasia wametupita,hii nchi tuiangalie kwa mbali,hii nchi ni ya kupigiwa mfano Afrika Mashariki.

Mungu ibariki Kenya
 
Back
Top Bottom