ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Huku akina Paschal Mayalla wanasema siyo vizuri kupiga hata picha watuhumiwa wakiwa mahakamani wakati hata kesi zakina Bosco Ntaganda na akina Uhuru kule kwenye korti ya ulimwengu zinaonyesha kwenye TV.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app