KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Nimekuwa nalituhumu Gazeti la Mwananchi na Kampuni ya Nation Media Group unayotaka Magazeti ya The Citizen na The East African jinsi yanavyoandika ovyo taarifa zinazohusu Tanzania hasa Serikali hata kama jambo ni la kawaida wanalifanya kama ni baya kutokea.

Waliandika karibia kila siku kwenye front pages taarifa za mauaji ya Kibiti na kutoa makala mbili juu ya mauaji hayo. Hata hivyo, Wakenya wamekuwa wakiuuawaila kwenye uchaguzi, wanatuficha taarifa huru wanaandika zilizotolewa na mamlaka lakini hakuna sehemu wameandika taarifa ya uchunguzi juu ya mauaji hayo.

Hata kifo cha Msando wa IEBC hawakukipa nafasi muhimu kwenye taarifa zao licha ya kilo hicho kuonekana wazi kimetendwa na Serikali.

Sasa nasubiri kuona watakavyoandika taarifa za uchaguzi kurudiwa ndio wao be Ainu kwa madudu yote waliyoandika dhidi ya Odinga.
 
Huku hata kupewa mdhamana tu hakimu anaingiliwa. Tunahitaji miaka mia mbili mahakama zetu kutoingiliwa.
 
Kenyatta is a thief from past regimes of president Moi and President, Kibaki .

"Once a thief, always a thief!! "
 
Ha ha haaaa
Vijana wa IT walipelekwa huko kenya lakini hapa Tz waligundulika mapema na kusambaratishwa yule mzungu bahati yake zile kokwa zingenyonywa. Hapa Tz walifanikiwa kule Znz ndio maana Jecha akafanya vitu vyake
 
Sasa hivi ndio wadau mbalimbali wanaingia mahakamani. Nimemuona Odinga naye yupo. Ila alipoulizwa anamategemeo gani amejibu vizuri sana, anaimani maamuzi ya majaji yatakuwa ya haki.
Na yamekuwa ya haki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
naipongeza mahakama ya juu ya kenya kwa kufanya shughuli zake za kimahakama kwa uhuru na uwazi bila kuingiliwa na taasisi yoyote au kikundi fulani cha watu.

kwa hili tuna la kujifunza toka kwa majirani.
 
Hii ni aibu nyingine kwa chadema kushabikia vitu wasivyovijua kisa chuki kwa Magu

......
 
Mahakamani Hasa Nchini Kenya Heshma Yao Imetukuka Sana Hii Ni Wazi Uhuru Wa Sheria Upo Na Unafuatwa Sasa Hili Ni Fundisho Kwetu
 
Tayari uchaguzi umefutwa mahakama imesema uchaguzi mwingine ufanyike nadani ya siku sitini

Najiuliza ni hatua gani watachukua ili kuhakikisha kuwa matatizo yaliyotokea hayatajirudia tena?
 
Kwanini kila kitu Chadema wanachoshabikia wanaangukia pua?
Na ndiyo maana hawachukuwa nchi, tungependa tuone upinzani ukiwa madarakani ungefanya nini, ila kila tukiitazama Chademakwanza ni ubabe, only elites wanafaidi na ruzuku, uzinzi, vyeo vya kudumu, kukosa sera, ajenda na ilani, basi hovyo hovyo tu...I wish wangeacha uharakati na kuwa chama pinzani kilicho na mwelekeo na kwamba wataifanyia nini Tanzania
 
Nashauri tuchucopy katiba ya kenya na kuipaste tanzania.....

Ushindi wa kesi ni matokeo ya katiba mpya iliyompunguzia rais uwezo wa kuchagua majaji wakuu...wakuu wa police na idara nyingine nyeti....!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom