Angekuwa ana chat na beny8ungekuwa Tz sijui huyo alietoa hio amri ya uchaguzi kurudiwa angekuwa wapi sasa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa ana chat na beny8ungekuwa Tz sijui huyo alietoa hio amri ya uchaguzi kurudiwa angekuwa wapi sasa hivi
Swali zuri na muhimu.
Hahah Raila gooo.ukawa chaliii tenyaaaaa
Kabisa kabisa maana mijamaa minyama sanaWapewe ulinzi wa kutosha maana mmmmh!
Hujui hata kinachoendlea au kinachozngumzwaKenyatta ni rais halali wa wakenya odinga atulie tu
Kuna rufaa juuya Supreme Court?Rest in Peace Msando. Sasa na tume itabadilishwa ama ? Sasa team ya UHURU itakubali au itakata rufaa ? Let us keep folllowing. Im proud to live seeing this.
Kenya si TZKenyatta ni rais halali wa wakenya odinga atulie tu
Umeisikia lakini ruling ya mahakama? haijasema Kenyatta ame cheat mahali bali tume ndio imefanya makosa ya kiutendaji kinyume na katiba ya Kenya. Muw mnafuatilia kwa umakini sio kuchukua mambo juujuu kama yale ya makinikiaNiliandika pia kuwa , Uhuru Kenyatta is a thief.
Nikamalizia kuwa, Once a thief always a thief.
Kenyatta aone aibu sasa .
Viva, Raila a.k.a. RAO.
Duh.ngoja hii comment yako nimuite Waterloo