Kenya: Mama aua wanae wanne, asema Mahakamani kuwa alivamiwa na nguvu za giza

Kenya: Mama aua wanae wanne, asema Mahakamani kuwa alivamiwa na nguvu za giza

Kwa sababu umesema ni maradhi ndio yanasababusha mambo kama hayo kutokea, Maana yake kwamba maumuzi ya mahakama yataangalia hali yake ya maradhi kutoa hukum, Ama mahakama itatoa uamuzi wa shauri hilo kama kesi nyingine za mauaji? kuna nafuu yoyote kwa huyo mama mbele ya sheria?
Mfumo wa makosa ya jinai
Sheria ya Afya ya Akili 2016 ya Maelezo ya Haki
Nina haki gani katika mfumo
wa makosa ya jinai?
Idadi ndogo ya watu wenye ugonjwa wa akili, ulemavu wa akili au
hali nyingine ya akili hufikishwa mahakamani kwa makosa ya jinai.
Katika hali hii, unaweza kuwa na haki ya:
• omba hakimu kuzingatia hali ya akili yako wakati wa kosa
ulilofanya au wakati wa kusikilizwa mbele ya hakimu
• kwa kosa kubwa, kuomba ripoti ya magonjwa ya akili kuandaliwa
tayari bila gharama yoyote kwa kutoa maoni juu ya hali yako ya
akili wakati wa kosa la madai, au wakati wa kusikilizwa mbele
ya mahakama
• kwa kosa kubwa, kuomba Mahakama ya Afya ya Akili kuzingatia
hali ya akili yako wakati wa kosa la madai au wakati wa
mahakama ya kusikia.
======
Unafuu upo,na ni universal.
 
Dah.. Kenya ni hatari sana kwa matatizo ya afya ya akili. Huyo ni mwalimu hivyo sishangai sana kwa kitendo alichofanya maana kwa tafiti za karibuni imeonekana walimu ndio kundi lililo athiriwa sana na matatizo ya afya ya akili hasa katika wakati huu wa lock down. Ukijumlisha na emotions za kike as a single mom with 4 kids sio mchezo.
 
Back
Top Bottom