joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #61
Nilishamjibu Tony254 katika post #35 hapo juu.Haya jibu maswali yangu sasa[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilizaliwa Kenya katika County ya Kwale, kijiji cha Vanga, Mbunge wangu alikua Juma Boi, baadae alipofariki akachukua mtoto wake Boi Juma Boi, ndio tukatoka Kenya kuja Tanzania, Baba yangu alikua Meneja ktk kiwanda cha Sukari cha Ramisi, mama yangu alikua mtanzani akifundisha katika shule ya msingi Duga Maforoni karibu na Horohoro, Kenya ninaijua vizuri kuliko ninavyoijua TZ.ever lived in kenya?
Vanga[emoji23][emoji23][emoji23]!!Mimi nilizaliwa Kenya katika County ya Kwale, kijiji cha Vanga, Mbunge wangu alikua Juma Boi, baadae alipofariki akachukua mtoto wake Boi Juma Boi, ndio tukatoka Kenya kuja Tanzania, Baba yangu alikua Meneja ktk kiwanda cha Sukari cha Ramisi, mama yangu alikua mtanzani akifundisha katika shule ya msingi Duga Maforoni karibu na Horohoro, Kenya ninaijua vizuri kuliko ninavyoijua TZ.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yes, bado hatujajitosheleza kila kitu, lakini mahitaji ya muhimu kwa binadamu kama chakula, makazi, Security na Afya, tunajitosheleza hatuombi misaada ya chakula.
Acheni kusingizia ukame,mbona chai na maua mnazalisha kwa wingi, au hivyo havihathiriwi na ukame?. Galana Kulalu Project ili
Ndio sababu nilianza kwa kukushangaa sana na kwa masikitiko makubwa kwamba hata wewe ambaye tulidhani uwezo wako wa kuelewa na kufuatilia mambo ni mzuri ukilinganisha na wakenya walio wengi, sasa umeamua kujiunga na kundi lao.
Tanzania upinzani uliamua kutoshiriki uchaguzi kizembe bila hata kwenda mahakamani kama ilivyofanya NASA huko Kenya. Angalau huko Kenya upinzani ulitumia njia za kisheria kudai haki zao, angalau NASA walipata kisingingizio cha kusema "Bila ya servers kufunguliwa kama ilivyoamuriwa na mahakama, hatutoshiriki uchaguzi", Huku Tanzania hata kwenda mahakamani walikataa wakaamua Kutoshiriki chaguzi, unategemea nini?. Tanzania kwa sasa hakuna upinzani ni wababaishaji tu.
Sasa nadhani unajua jinsi ninavyowajua wakenya na Kenya kwa ujumla, Kenya ni nchi ya hovyo sana, na wakenya ni wabaguzi sana, sio nchi nzuri wala sio salama kabisaVanga[emoji23][emoji23][emoji23]!!
My God, kumbe umeishi bundu hvo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Vanga ndiko watu ni wabaguzi? kha!!, yani hata kudanganya hujui?Sasa nadhani unajua jinsi ninavyowajua wakenya na Kenya kwa ujumla, Kenya ni nchi ya hovyo sana, na wakenya ni wabaguzi sana, sio nchi nzuri wala sio salama kabisa
Vanga ndiko watu ni wabaguzi? kha!!, yani hata kudanganya hujui?
Pili uliishi bundu jomba, hujui kitu kuhusu kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Narudia tena, hujui lolote kuhusu kenya, usituletee habari za vijiweni hku...
Umekaririshwa hko basi unataka kuja ujitambe hku
Hahahaha, imekuuma baada ya kugundua kwamba ninaijua Kenya kwa undani, ninyi ni wabaguzi sana na ukabila Haiwezikani kupungua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, wabaguzi wakubwa ninyi.Vanga kuna ukabila na ubaguzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
We bado unajifunza kudanganya, hujui kitu jomba...
Jaribu tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hohohoooo!!!!Hahahaha, wabaguzi wakubwa ninyi.
Acha kupoteza ukweli, nimekuambia nimezaliwa Vanga na ninaijua vizuri Kenya, kwamba Kenya kuna ukabila na Ubaguzi wa hali ya Juu sana, ninyi wakenya ni wabaguzi sana tena sana, Kenya ninyi ni wabaguzi sanaHohohoooo!!!!
Kadanganye wengine vijiweni, eti vanga kuna ukabila[emoji1787][emoji1787]
Yani nimecheka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora nishangae tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha kupoteza ukweli, nimekuambia nimezaliwa Vanga na ninaijua vizuri Kenya, kwamba Kenya kuna ukabila na Ubaguzi wa hali ya Juu sana, ninyi wakenya ni wabaguzi sana tena sana, Kenya ninyi ni wabaguzi sana