Kenya masikilizano na ustaarabu ni vigumu kupatikana.

Kenya masikilizano na ustaarabu ni vigumu kupatikana.

ever lived in kenya?
Mimi nilizaliwa Kenya katika County ya Kwale, kijiji cha Vanga, Mbunge wangu alikua Juma Boi, baadae alipofariki akachukua mtoto wake Boi Juma Boi, ndio tukatoka Kenya kuja Tanzania, Baba yangu alikua Meneja ktk kiwanda cha Sukari cha Ramisi, mama yangu alikua mtanzani akifundisha katika shule ya msingi Duga Maforoni karibu na Horohoro, Kenya ninaijua vizuri kuliko ninavyoijua TZ.
 
Mimi nilizaliwa Kenya katika County ya Kwale, kijiji cha Vanga, Mbunge wangu alikua Juma Boi, baadae alipofariki akachukua mtoto wake Boi Juma Boi, ndio tukatoka Kenya kuja Tanzania, Baba yangu alikua Meneja ktk kiwanda cha Sukari cha Ramisi, mama yangu alikua mtanzani akifundisha katika shule ya msingi Duga Maforoni karibu na Horohoro, Kenya ninaijua vizuri kuliko ninavyoijua TZ.
Vanga[emoji23][emoji23][emoji23]!!
My God, kumbe umeishi bundu hvo...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes, bado hatujajitosheleza kila kitu, lakini mahitaji ya muhimu kwa binadamu kama chakula, makazi, Security na Afya, tunajitosheleza hatuombi misaada ya chakula.
Acheni kusingizia ukame,mbona chai na maua mnazalisha kwa wingi, au hivyo havihathiriwi na ukame?. Galana Kulalu Project ili

Ndio sababu nilianza kwa kukushangaa sana na kwa masikitiko makubwa kwamba hata wewe ambaye tulidhani uwezo wako wa kuelewa na kufuatilia mambo ni mzuri ukilinganisha na wakenya walio wengi, sasa umeamua kujiunga na kundi lao.

Tanzania upinzani uliamua kutoshiriki uchaguzi kizembe bila hata kwenda mahakamani kama ilivyofanya NASA huko Kenya. Angalau huko Kenya upinzani ulitumia njia za kisheria kudai haki zao, angalau NASA walipata kisingingizio cha kusema "Bila ya servers kufunguliwa kama ilivyoamuriwa na mahakama, hatutoshiriki uchaguzi", Huku Tanzania hata kwenda mahakamani walikataa wakaamua Kutoshiriki chaguzi, unategemea nini?. Tanzania kwa sasa hakuna upinzani ni wababaishaji tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nadhani unajua jinsi ninavyowajua wakenya na Kenya kwa ujumla, Kenya ni nchi ya hovyo sana, na wakenya ni wabaguzi sana, sio nchi nzuri wala sio salama kabisa
Vanga ndiko watu ni wabaguzi? kha!!, yani hata kudanganya hujui?
Pili uliishi bundu jomba, hujui kitu kuhusu kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Narudia tena, hujui lolote kuhusu kenya, usituletee habari za vijiweni hku...
Umekaririshwa hko basi unataka kuja ujitambe hku



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vanga ndiko watu ni wabaguzi? kha!!, yani hata kudanganya hujui?
Pili uliishi bundu jomba, hujui kitu kuhusu kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Narudia tena, hujui lolote kuhusu kenya, usituletee habari za vijiweni hku...
Umekaririshwa hko basi unataka kuja ujitambe hku
Hahahaha, imekuuma baada ya kugundua kwamba ninaijua Kenya kwa undani, ninyi ni wabaguzi sana na ukabila Haiwezikani kupungua


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vanga kuna ukabila na ubaguzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
We bado unajifunza kudanganya, hujui kitu jomba...
Jaribu tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hohohoooo!!!!
Kadanganye wengine vijiweni, eti vanga kuna ukabila[emoji1787][emoji1787]
Yani nimecheka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupoteza ukweli, nimekuambia nimezaliwa Vanga na ninaijua vizuri Kenya, kwamba Kenya kuna ukabila na Ubaguzi wa hali ya Juu sana, ninyi wakenya ni wabaguzi sana tena sana, Kenya ninyi ni wabaguzi sana
 
Acha kupoteza ukweli, nimekuambia nimezaliwa Vanga na ninaijua vizuri Kenya, kwamba Kenya kuna ukabila na Ubaguzi wa hali ya Juu sana, ninyi wakenya ni wabaguzi sana tena sana, Kenya ninyi ni wabaguzi sana
Bora nishangae tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vanga kuna ukabila?

Labda useme ulibaguliwa wapi, lkn uache kuisingizia vanga ya wenyewe maskini[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom