Nyie kwa vituko hamjambo, sasa umekuja na mpya eti wanaoenda kwa waganga ni malofa wa vijijini.Ukiambiwa utabisha, lakini Kenya wanaoenda kwa waganga ni malofa wa kule vijijini tu. Afu wao pia shughuli yenyewe huwa wanaifanya wakiwa wamejificha au hata gizani. Yaani heri waseme umekonda kwasababu ya vile virusi, ila si uchawi. joto la jiwe njoo humu jombaa.
Hamuwezi kuikataa hiyo huduma wakati nyie ni waumini wazuri wa ushirikina.Angerudi kwao Tanzania hayangemkuta, labda angepokewa vizuri na kukuta nchi imeshakua ya viwanda. Huku tulishawashtukia na hwapati hela zetu tena, Wakenya tubadilishe imani kabisa, naomba taarifa kama hizi zisambazwe kwenye mitadao yote ya kijamii ili ifahamike uganga ni utapeli.
Mabango kama haya tuyapige chini maana yamejaa nchi yote
View attachment 669449
Ni kweli mkuu huyo hajatoka Tanzania, kama angekuwa katoka huku wakenya walivyo na mbwembwe wangeandika tofauti habari hiyo, lazima ingeonekana mganga kutoka tz ndo kajinyonga.nani aliyekuambia huyo aliyejinyonga alitoka Tanzania.
acha urongo, na wale night runners ni waTanzania?
na wale wa kuwashikanisha wala uroda haramu ni waTanzania?
wale wa nyuki, ukiiba la nyuki linakuganda ni waTanzania?
huko Kenya kuna wachawi wa kutosha tu.
Hakuna mtz anaandika kiswahili namna hiyo. Inawezekana hiyo Tz hapo ni kuwavutia tuu halafu unakutana na mganga kutoka KisiiAngerudi kwao Tanzania hayangemkuta, labda angepokewa vizuri na kukuta nchi imeshakua ya viwanda. Huku tulishawashtukia na hwapati hela zetu tena, Wakenya tubadilishe imani kabisa, naomba taarifa kama hizi zisambazwe kwenye mitadao yote ya kijamii ili ifahamike uganga ni utapeli.
Mabango kama haya tuyapige chini maana yamejaa nchi yote
View attachment 669449