Kenya Middle Income yajivunia kuto kunya hadharani: Hongereni Majirani

Kenya Middle Income yajivunia kuto kunya hadharani: Hongereni Majirani

View attachment 782394
open-1-jpg.782394

Ina MAANA hayo majamaa yanaonekana majanja kumbe YANAJISAIDIA HADHARANI KAMA NG'OMBE.

DUUU
 
Mkulu katika desturi zetu si jambo la KAWAIDA. Ndiyo maana tuna maneno kama ASHAKUMU SI MATUSI, KUMRADHI na TASFIDA.

Desturi zipi? Ashakumu, Kumradhi, Tafsida, ni maneno ya kiafrika au ni maneno yalitoholewa kutoka kwenye lugha ya kiarabu?

Kama nilivyoeleza, wakati mwingine ni vyema ukali wa maneno ujitokeze ili ujumbe ufike. Neno Kunya ni neno la Kiswahili. Kwani mwataka litumike wapi?
 
Nchi kumi ulimwenguni zilizo na tabia ya kumwaga mbolea ovyo ovyo
download-2.png
 
Desturi zipi? Ashakumu, Kumradhi, Tafsida, ni maneno ya kiafrika au ni maneno yalitoholewa kutoka kwenye lugha ya kiarabu?

Kama nilivyoeleza, wakati mwingine ni vyema ukali wa maneno ujitokeze ili ujumbe ufike. Neno Kunya ni neno la Kiswahili. Kwani mwataka litumike wapi?

Ahaaa haaa haaa
In JPM tone.
Maana RAIS wetu hamung'unyi maneno badala YAKE anasema straight mpaka wabongo wengi wanakasirika.
Ahaaa haaa haaa
 
hii ni aibu..hawa wanatakiwa washikwe wafungwe kwa kutuaibisha kiasi hiki? lugha chafu sana ambayo haifai kamwe kuandikwa kwenye mabodi kama haya..there is a better way to do this...
Mh!
 
Achievements za mido inkamu kwenye 21st century.
Wanajivunia kunya faraghani. Duuu KAZI ipo KWELI.
Mido inkamu walikuwa wanaishi kwenye mabanda Panya,Kunya porini kama Panya, angalau kidogo wameanza starabika.
 
tumekubali. swali ni tanzania hali vipi kama ldc? manake najua miji. mingi sana haina sewerage system.
Asee mijini kwetu hakuna mapori ya kunya kunya ovyo, kila mutu anachimba choo chake, Bwana Afya anapitia kila nyumba na kuangalia kama ina choo, kama choo hamna unashitakiwa na kulipa faini.
 
Asee mijini kwetu hakuna mapori ya kunya kunya ovyo, kila mutu anachimba choo chake, Bwana Afya anapitia kila nyumba na kuangalia kama ina choo, kama choo hamna unashitakiwa na kulipa faini.

Ahaaa haaa haaa
Kweli kabisa. Bwana afya anapita kila mtaa kukagua vyoo na mazingira kwa ujumla. Usipofanya fine inakuhusu.

Hata vijijini zamani wakati wadogo tunakua, wazee walitufundisha madhara ya kunya na kukojoa hovyo. Walikuwa wanasema ukikojoa hovyo mtu akaruka mkojo wako unakuwa mfupi au kijeba, utakuwa hukui. Pia kunya hovyo kinyeo chako kitaziba. Ahaaa haaa haaa. Those were known as scaring provisions. Ilisaidia SANA, MAANA Mimi nimeanza kukojoa barabarani baada ya kuanza kunywa bia.
😀😀
 
Mido inkamu walikuwa wanaishi kwenye mabanda Panya,Kunya porini kama Panya, angalau kidogo wameanza starabika.

Watu wa mido inkamu si wapeleke hiyo miradi ya kunanilii faraghani mitaa ya kibera?
 
Haiya Haiya! Not surprised as a country itself is known as Kunya.
 
Kila mtu ashangilie Kwa level YAKE.
 
Back
Top Bottom