CC: Tony254 congrats my brother! Inakaa mmeacha hii maneno, hongereni kwa kuwa Wastaarabu..View attachment 782065
Katika hali ya kupiga butwaa wengi mido inkamu Kenya yajivunia hatua ya watu wa vijiji vyao kujisaidia vyooni.
Tuwapongeze majirani jamani.
Noma hiiππππ
mbona tz mabasi yanasimamishwa abiria wanatimka mwituni kwenda kunya mazeee! kuna siku nlipandaga sai baba daaa sitorudia tena!, abiria wakarudi ndani wengi wananuka mefiiiii! ebooo....eti tumetoka kuchimba dawaπ
mbona tz mabasi yanasimamishwa abiria wanatimka mwituni kwenda kunya mazeee! kuna siku nlipandaga sai baba daaa sitorudia tena!, abiria wakarudi ndani wengi wananuka mefiiiii! ebooo....eti tumetoka kuchimba dawa[emoji23]
wewe ndio ulijamba bana,si useme tu!!!wenzio wanakwenda kukojoa wewe unakuja na story za mavi.