Kenya Middle Income yajivunia kuto kunya hadharani: Hongereni Majirani

Kama karne hii watu hujivunia ku poop chooni basi kuna safari ndefu sana ya kuelekea kwenye maendeleo ya kweli.
 
Majirani wanazidi kupaa.
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
mbona tz mabasi yanasimamishwa abiria wanatimka mwituni kwenda kunya mazeee! kuna siku nlipandaga sai baba daaa sitorudia tena!, abiria wakarudi ndani wengi wananuka mefiiiii! ebooo aisee ilibidi konda awashe kiyoyozii baada ya ss wanachi wa kigeni kutishia kushukaa tokana na harufu kali iliyokuwa ikifukuta mlee!!...eti tumetoka kuchimba dawaπŸ˜‚, badilikeni waswahiliii!!
 
mbona tz mabasi yanasimamishwa abiria wanatimka mwituni kwenda kunya mazeee! kuna siku nlipandaga sai baba daaa sitorudia tena!, abiria wakarudi ndani wengi wananuka mefiiiii! ebooo....eti tumetoka kuchimba dawaπŸ˜‚

Ulipanda mwaka gani?
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
 
mbona tz mabasi yanasimamishwa abiria wanatimka mwituni kwenda kunya mazeee! kuna siku nlipandaga sai baba daaa sitorudia tena!, abiria wakarudi ndani wengi wananuka mefiiiii! ebooo....eti tumetoka kuchimba dawa[emoji23]

wewe ndio ulijamba bana,si useme tu!!!wenzio wanakwenda kukojoa wewe unakuja na story za mavi.
 
wewe ndio ulijamba bana,si useme tu!!!wenzio wanakwenda kukojoa wewe unakuja na story za mavi.


narudia tena hapa africa hakuna mpinzani wa watz kwenye sekta ya kunya hadharaniii!, abiria wanasimamisha hata daladala mjini waende wakakate gogoo!!πŸ˜‚ mapori yote toka dar hadi mwanza mmejazaaa mefiiiiii! , watz na wanyama pori mnaendanaaaa....wote mnakunya mleeeee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…