ashy me
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 460
- 299
KDf kuingia somalia n sabbu nyingi ila kubwa n ile ambayo ndio target ya crusaders wote on top of them united snakes of america ...ambapo yy baada ya nguruwe wake kuuwawa vikal Afghan na Iraq bas sasa huwatumia vibaraka wake kama Kenya kupambana na rijal kama mashabab na wengine na lengo kubwa n kuzuia kutengenezwa serikal ya kiislamu ya kweli acha hz vibaraka vyake arabun ........Unahisi kwann KDF waliamua kuingia Somalia?
Kama unajua baada ya mapigano ya mda mrefu somalia waliamua 2006 iwe Islamic country na hilo lilimtisha marekan na kuwatuma Ethiopia kuingia na kuanzisha vurugu na mauaji ya kutisha dhidi ya waislamu ....baada ya hapo ndo ilizaliwa shabab ilokuwa ikipigania sharia za Allah ziwe juu ikipambana na vibaraka wa shetan had ivi leo