Kenya: Mke wa Sheikh Aboud Rogo, Haniya Said Saggar ahukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani

Kenya: Mke wa Sheikh Aboud Rogo, Haniya Said Saggar ahukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani

Unahisi kwann KDF waliamua kuingia Somalia?
KDf kuingia somalia n sabbu nyingi ila kubwa n ile ambayo ndio target ya crusaders wote on top of them united snakes of america ...ambapo yy baada ya nguruwe wake kuuwawa vikal Afghan na Iraq bas sasa huwatumia vibaraka wake kama Kenya kupambana na rijal kama mashabab na wengine na lengo kubwa n kuzuia kutengenezwa serikal ya kiislamu ya kweli acha hz vibaraka vyake arabun ........

Kama unajua baada ya mapigano ya mda mrefu somalia waliamua 2006 iwe Islamic country na hilo lilimtisha marekan na kuwatuma Ethiopia kuingia na kuanzisha vurugu na mauaji ya kutisha dhidi ya waislamu ....baada ya hapo ndo ilizaliwa shabab ilokuwa ikipigania sharia za Allah ziwe juu ikipambana na vibaraka wa shetan had ivi leo
 
KDf kuingia somalia n sabbu nyingi ila kubwa n ile ambayo ndio target ya crusaders wote on top of them united snakes of america ...ambapo yy baada ya nguruwe wake kuuwawa vikal Afghan na Iraq bas sasa huwatumia vibaraka wake kama Kenya kupambana na rijal kama mashabab na wengine na lengo kubwa n kuzuia kutengenezwa serikal ya kiislamu ya kweli acha hz vibaraka vyake arabun ........

Kama unajua baada ya mapigano ya mda mrefu somalia waliamua 2006 iwe Islamic country na hilo lilimtisha marekan na kuwatuma Ethiopia kuingia na kuanzisha vurugu na mauaji ya kutisha dhidi ya waislamu ....baada ya hapo ndo ilizaliwa shabab ilokuwa ikipigania sharia za Allah ziwe juu ikipambana na vibaraka wa shetan had ivi leo
so sad kwa watu kama wewe kujihesabia haki. maandiko yanasema Kile kilichofanyika zamani (OT), kiliwafanya watu wasamehewe dhambi na kuhesabika wenye haki (baada ya toba na kuishi kitawa) kwa njia za damu za wanyama na njiwa!! Quran inasema, pamoja na kusamehewa kwao dhambi, walilala katika tumaini wakiingoja ile siku ambayo hata enzi zile, waliijifunza kuwa itakuja watolewe (waokolewe) duniani maana walikuwa ni wapitaji tu!! Halikadhalika hadi leo,tumaini lilelile tunalo akina Siyi na wengine ya kwamba, duniani, tunapita tu. so, who are you to judge?
 
Back
Top Bottom