Kenya: Mke wa Sheikh Aboud Rogo, Haniya Said Saggar ahukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani

Kenya: Mke wa Sheikh Aboud Rogo, Haniya Said Saggar ahukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani

Sio ukweli huwa situkani kama ndo ivo am sorry na hata id yako kwangu ni mpya

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
Kama ID ingekuwa labda Jr hapo ungekataa. Lakini uliwahi kuchangia kwenye thread hii ; Nairobi Master Fabricaters inaweza kushindana na China utengenezaji wa magari kuvutia abiria.

Na kwenye ripoti iliyoenda kwa wahusika mpaka leo ipo kwenye maktaba yangu, na waliondoa ile comment yako. Endelea kuwa mjanja.
 
Kitu kinachosumbua ni kwamba kila mtu haya mambo hayajadiliwi kwa weledi bali kila mtu anayaongelea kwa mrengo wake......
 
Kitu kinachosumbua ni kwamba kila mtu haya mambo hayajadiliwi kwa weledi bali kila mtu anayaongelea kwa mrengo wake......
Hapo wewe weledi wako uko upande gani? Kwa sababu ikiwa Rogo alituhumiwa kwa ugaidi ambao ni hatari duniani, lakini hajawahi kufungwa miaka 10 zaidi ya kesi zote kukosa ushahidi na kushikiliwa tu kwa miaka 2. Sasa huyu hana tuhuma za ugaidi lakini unamfunga miaka 10. Embu angalia na hiyo kesi yake wanayemfunga. Anadhulumiwa tu kwa vile ni mjane ndo shida ya serikali za kidhalmu.
 
Dini kando, mnasifu mtu ambaye kwa mahubiri yake alisababisha vifo vya watu wasio na hatia? Mkenya gani hajui Aboud Rogo alivokuwa na chuki? Kama mkewe alikuwa pamoja na yeye kwenye hilo, hata miaka kumi ni kuonewa huruma. Watu wamepoteza jamaa zao na wala hawataona sura zao tena.
 
Hapo wewe weledi wako uko upande gani? Kwa sababu ikiwa Rogo alituhumiwa kwa ugaidi ambao ni hatari duniani, lakini hajawahi kufungwa miaka 10 zaidi ya kesi zote kukosa ushahidi na kushikiliwa tu kwa miaka 2. Sasa huyu hana tuhuma za ugaidi lakini unamfunga miaka 10. Embu angalia na hiyo kesi yake wanayemfunga. Anadhulumiwa tu kwa vile ni mjane ndo shida ya serikali za kidhalmu.
kwa mchango wa namna hii, that's why unagombana na wenzako.
 
Tatizo alikuwa Rogo na sio huyo mama lakini ndo hivyo tena naye amesha nasibishwa na Mumewe aliyejaza vijana wetu fikra chafu na potevu za Jihadi feki
You fake madhkal salaf shut ur ignorant mouth ....u know nothing abt jihad .....somalia wamevamiwa na wanajesh toka Kenya ...Ethiopia ..Burundi na kila mahala ...unajua ijmaa ya salaf juu ya adui anaeingia ktk miji ya waislamu kubaka na kuua .. Na kuharbu miji ya waislamu ???? .......usitake nianze kukuuliza maswal ya kielimu utayoshindwa kuyajibu ....hatutakubal mtu mwenye fikra za kimagharb na chafu amseme kwa ubaya our beloved sheikh aboud ....ss tunaoijua somal s kwenye TV ndo tunajua madhila yanayokumba ndg zetu juu ya vibaraka wenu amisom na jesh lililoritad la somalia ....ikiwa waweza mkosoa rogo kielimu karbu sana tutakujibu in sha Allah
 
Umesahau mauaji ya wakrito yaliyo kuwa yakiungwa mkono waziwazi na mmewe au ndo mkuki kwa nguruwe
Ikiwa jesh lenu la kigaid la Kenya limeingia Somali kubaka na kuua waislamu ...wat do u expect in return ...box of roses ???
 
Dini kando, mnasifu mtu ambaye kwa mahubiri yake alisababisha vifo vya watu wasio na hatia? Mkenya gani hajui Aboud Rogo alivokuwa na chuki? Kama mkewe alikuwa pamoja na yeye kwenye hilo, hata miaka kumi ni kuonewa huruma. Watu wamepoteza jamaa zao na wala hawataona sura zao tena.
Jicho kwa jicho ....ndg zenu waliuawa na serikal yenu ya kishenz ya Kenya baada ya kuingia kuuwa waislamu somal .....so mlitaka muachwe na jesh lenu ...aboud hakusababisha mauaj yenu ila serikal yenu ya kigaid
 
Tatizo alikuwa Rogo na sio huyo mama lakini ndo hivyo tena naye amesha nasibishwa na Mumewe aliyejaza vijana wetu fikra chafu na potevu za Jihadi feki
Hapo tu ndipo ninaposhindwaga kuwaelewa salaf kwenye swala la rogo, Mimi naamin alichokifanya alikuwa anaamini kuwa yupo sahihi ,na amefanya Lillahi Kwa hiyo Allah pekee ndo wakumuhukumu na sinyinyi mnaempamba na moto.
 
Jicho kwa jicho ....ndg zenu waliuawa na serikal yenu ya kishenz ya Kenya baada ya kuingia kuuwa waislamu somal .....so mlitaka muachwe na jesh lenu ...aboud hakusababisha mauaj yenu ila serikal yenu ya kigaid
Unashabikia mambo ya kipuuzi mbona hiyo avatar yako hujaivalisha hijab? Shughulika na nchi yako, Kenya ina wenyewe Waoga nyie mnaopenda kushabikia ugaidi kwenye mitandao ya kijamii. Siusafiri hadi Somalia kama wenzako au ndo unaogopa kufa pia kama kafiri?
 
You fake madhkal salaf shut ur ignorant mouth ....u know nothing abt jihad .....somalia wamevamiwa na wanajesh toka Kenya ...Ethiopia ..Burundi na kila mahala ...unajua ijmaa ya salaf juu ya adui anaeingia ktk miji ya waislamu kubaka na kuua .. Na kuharbu miji ya waislamu ???? .......usitake nianze kukuuliza maswal ya kielimu utayoshindwa kuyajibu ....hatutakubal mtu mwenye fikra za kimagharb na chafu amseme kwa ubaya our beloved sheikh aboud ....ss tunaoijua somal s kwenye TV ndo tunajua madhila yanayokumba ndg zetu juu ya vibaraka wenu amisom na jesh lililoritad la somalia ....ikiwa waweza mkosoa rogo kielimu karbu sana tutakujibu in sha Allah
Hahahaaaa Id yako Ina Lisa lopes aka left eye my favourite rapper ....pia Id yako kidoogo alinipa mushkeri juu ya comment zako yaani nilikuwa nakuignore lakn kumbe wewe ni lulu
Eti mtu anakuja mpinga rogo hivi kweli ,Kwa hizi imani zetu zilizo dhaifu unadhani tunaweza mfikia Yule Simba, mm salaf hapo ndo huwa tunapishana comments zao juu ya rogo
 
Hapo tu ndipo ninaposhindwaga kuwaelewa salaf kwenye swala la rogo, Mimi naamin alichokifanya alikuwa anaamini kuwa yupo sahihi ,na amefanya Lillahi Kwa hiyo Allah pekee ndo wakumuhukumu na sinyinyi mnaempamba na moto.
Sjamuhukumu Ndugu nmebainisha ubaya wa njia aliyokuwa akiitumia kuwa sio sahihi wala uislam sahihi na Mafundisho yake hayaelekezi mambo aliyokuwa akilingania Abood Rogo (Allah Amrehem )
 
You fake madhkal salaf shut ur ignorant mouth ....u know nothing abt jihad .....somalia wamevamiwa na wanajesh toka Kenya ...Ethiopia ..Burundi na kila mahala ...unajua ijmaa ya salaf juu ya adui anaeingia ktk miji ya waislamu kubaka na kuua .. Na kuharbu miji ya waislamu ???? .......usitake nianze kukuuliza maswal ya kielimu utayoshindwa kuyajibu ....hatutakubal mtu mwenye fikra za kimagharb na chafu amseme kwa ubaya our beloved sheikh aboud ....ss tunaoijua somal s kwenye TV ndo tunajua madhila yanayokumba ndg zetu juu ya vibaraka wenu amisom na jesh lililoritad la somalia ....ikiwa waweza mkosoa rogo kielimu karbu sana tutakujibu in sha Allah
Naomba unipe tofauti kati ya Alshabaab, boko haram na Isis.
 
Hapo tu ndipo ninaposhindwaga kuwaelewa salaf kwenye swala la rogo, Mimi naamin alichokifanya alikuwa anaamini kuwa yupo sahihi ,na amefanya Lillahi Kwa hiyo Allah pekee ndo wakumuhukumu na sinyinyi mnaempamba na moto.
Brother hawa s salaf ila hujinasbisha na manhaj salaf .....ili kuwapoteza watu salaf walikuwa na aqida sahihi ..salaf waliguswa na misiba ya waumini ....mmoja ktk salaf alionekana hajacheka miaka 40 akaulizwa kwann akajibu vp ntacheka ilhal muislamu mmoja yuko ktk jela za makafir .......ila wao hufurahia madhila yanayowakumba waumini ...kudai kuwa hawa n salaf n sawa na kusema wakristo kweli wanamfata isa
 
Naomba unipe tofauti kati ya Alshabaab, boko haram na Isis.
Mm s mchambuz wa hayo mambo if u wanna know nachojua shabab wako na website na media zao...halikadhalika Isis so u better ask them for clarification and maybe Allah will guide u
 
Back
Top Bottom