Kinengunengu
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 1,716
- 4,375
Mkuu upo? Ulipotea humu mzee sawa na Lizaboni na Ritz.Yaani hata wewe unasema asamehewe?😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu upo? Ulipotea humu mzee sawa na Lizaboni na Ritz.Yaani hata wewe unasema asamehewe?😂
WhyInasikitisha mno.
ila wako wakristo wanaotamani kutofanya dhambi lakini wanazifanya kwa siri huku wakisali kwa sauti.
👍wakati wasiookoka wanasali kimya kimya na wanajutia kutenda dhambi ila wanazifanya waziwazi.
Subhanallah!Anaonekana kitumbua kimenona
Basi hongereni lakini ni swala la muda tu ila huwezi kukosa wavivu, washirikina na wasenyengaji! na kwa bahati mwanaume akichepuka anaatetewa baba alianguka! kiukweli bado ni changamoto ukubali au usikubali kwa mjadala zaidi njoo in box tutengenezeSio sahihi hilo usemalo labda huo ni ulokole wa mjini ila sisi huku vijijini bado misimamo ya imani ipo sawa. Tunailinda na kuitunza imani waliyokabidhiwa watakatifu mara moja.
noma Sana🍆Inasikitisha Sana,
Nmejaribu kufatilia Hii habar kwenye vyombo vya Kenya.
Inasemekena Kuna mwanaume Alikua anajaribu kumfurahisha kwa kumtumia video call, ambapo mwamba akascreen shot.
Na Martha mwihaka kupitia account Yake ya Twitter akachomoa Betri[emoji22]View attachment 2405941
Inasikitisha Sana mkuu[emoji3525]Hizo picha za utupu ziko Wapi sasa!???
eka picha full tuone vile alivofanana kabla hajaokoka,waaah🍆ni huzuni Sana😭Inasikitisha Sana mkuu[emoji3525]View attachment 2405944
Inasikitisha Sana mkuu[emoji3525]View attachment 2405944
Yuko vizure🤠!Inasikitisha Sana mkuu[emoji3525]View attachment 2405944
Lakini yalimpa burudani wakati anajishughulishaAsamehewe.
Sometimes kuna mambo huwa yanaumiza moyo.