dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Inasikitisha Sana mkuu[emoji3525]View attachment 2405944
akivaa nguo anavutia kuliko akiwa uchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha Sana mkuu[emoji3525]View attachment 2405944
Ni kweli kabisa hakuna aliyemkamilifu chini ya Jua, tukisema tumeokoka tunajidanganya.Do! katika ulokole wangu wa miaka michache nilichojifunza ni kwanza kiukweli kabisa hakuna aliyeokoka naungana kabisa na Wakatoliki katika hili. ila wako wakristo wanaotamani kutofanya dhambi lakini wanazifanya kwa siri huku wakisali kwa sauti. wakati wasiookoka wanasali kimya kimya na wanajutia kutenda dhambi ila wanazifanya waziwazi.
walokole ni watu wa kujihesabia haki pia ni wabaguzi na wakati mwingine hawafanyi kusudi la Yesu la kutafuta kondoo waliopotea bali huwatenga wenye dhambi na kuwapoteza hivyo si wachungaji wema. kwa mbali ni kichaka cha wavivu na waharifu.
MWENYEZI MUNGU atuhurumie
Picha TafadhaliView attachment 2404005
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili eneo la Kati Mary Lincoln amejikuta akiingia Kanisani kutubu na kutafuta maombi baada ya picha na video zake za utupu kusambazwa mitandaoni.
Aliandamana na wasanii kadhaa akiwemo Karangu wa Muraya ambaye pia amekuwa akivuma mtandaoni kwa madai ya kuchukua mke wa mtu pia mtu mashuhuri kwa likizo huko Dubai.
Picha za Bi Lincoln zilizosambaa zinasemekana kusababisha dhoruba kubwa katika uhusiano wake wa mitala na mtu mashuhuri wa kituo cha redio cha ndani.
======================
The suitor is said to have bankrolled her lavish lifestyle and had allegedly threatened to repossess his gifts.
Before her fame and fortune, Ms Lincoln was a hairdresser in Nairobi's Gikomba market and her music career was struggling.
Ms Lincoln is popular for hits like Kururíra hau, Ngacibú, Ndúkaríkanie nanií, Kamúhari, Matukú matanathiathia, and Ndúkegerekanie nanií.
The nude photos were shared by blogger Martha Mwihaki Hinga, who is popular for publicising celebrity scandals, gaining massive followers.
After the photos went viral, critics questioned why she allowed such images to be taken despite the risk of them leaking online in this era of technology. She has, however, said she has turned a new leaf.
“Yes, we went to the Christian Foundation Fellowship (CFF) Church for repentance and forgiveness prayer. Our God is merciful and offers those who repent a second chance to resume service to him,” Ms Lincoln said.
The viral footage is “now neither here nor there, what is important is that I am now full of renewed energy to continue ministering and spreading love of our merciful and forgiving God,” she added.
After the prayers, the gospel singer took to social media, saying she thanked God for his love, and also thanking Bishop Michael Wanderi and Rev David Mwangi for the prayers. She also thanked “all my fellow artistes and all friends who have been praying with me”.
Later, photos of her crying and showing her kneeling down while the clerics prayed for her were shared online.
Mr Muraya said the prayer session was a spiritual re-energising drive.
“Jehovah you are God of a second chance and you forgive and forget without dwelling on our past...from the bottom of our hearts we are grateful for giving our sister Mary Lincoln and giving us a second chance to serve you...Thank you Bishop Wanderi for your prayers,” he said.
NATION
Wasanii wengi wanaishi maisha expensive ya kuigiza sanaAlitaka huyo kidume amsaidie kulipa Kodi ya nyumba
Ningependa kuzionaHizo picha zinapatikana wapi ?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeua jombiiPapuchi za Kenya huwa hazivutii kabisa nyeusi tiii, emu tuone yake yeye ipoje
Ni kweli usemayo.Do! katika ulokole wangu wa miaka michache nilichojifunza ni kwanza kiukweli kabisa hakuna aliyeokoka naungana kabisa na Wakatoliki katika hili. ila wako wakristo wanaotamani kutofanya dhambi lakini wanazifanya kwa siri huku wakisali kwa sauti. wakati wasiookoka wanasali kimya kimya na wanajutia kutenda dhambi ila wanazifanya waziwazi.
walokole ni watu wa kujihesabia haki pia ni wabaguzi na wakati mwingine hawafanyi kusudi la Yesu la kutafuta kondoo waliopotea bali huwatenga wenye dhambi na kuwapoteza hivyo si wachungaji wema. kwa mbali ni kichaka cha wavivu na waharifu.
MWENYEZI MUNGU atuhurumie
Nakutumia pmNingependa kuziona
Pm umefungaNingependa kuziona
ItapendezaNakutumia pm