Kenya: Msanii wa Injili aomba radhi baada ya picha zake za utupu kuvuja mitandaoni

Ila mfano swala tu la kukubali kupiga au kupigwa picha ukiwa uchi .je watu wakuchuliaje kwamba hauna pozi mpaka upige ukiwa uchi?
 
Ni kweli kabisa hakuna aliyemkamilifu chini ya Jua, tukisema tumeokoka tunajidanganya.
 
Picha Tafadhali
 
Ni kweli usemayo.
Wanaojiita walokole ni watu wenye dhambi kama sisi inaweza na kuzidi. Walichoweza kufanikiwa ni kuzificha wanafanya kwa usiri mkubwa..

Nina mtu wangu wa karibu sana ambaye ni mlokole anayesali haya makanisa ya kilokole..akipiga maombi ni wale wanaonena kwa lugha yaani kwa nje ni mkokole aliyepitiliza. Na familia yake ni ya kilokole...

Lakini sasa...nakunywa nae safari lager, ganja anavuta na mastory yale yakihuni tunaongea vizuri tu, kuna muda hadi najisahau kwamba ni wifi yangu. (Upande wa mume). Kiufupi ni bonge ya mshkaji.

Mimi maisha ya kinafiki hivyo siwezi nikayaishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…