el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,058
Hakuna kitu mwanadamu anapenda kama kuwa huru, it's human nature, hata kama unapigania uchumi wake kiasi gani, hata kama unalinda rasilimali kiasi gani hata kama unampa chakula cha bure ila unammbanabana automatically lazima akuchukie.
Uhuru Kenyatta licha ya mapungufu yake mengine ni Kiongozi poa ambaye habanibani sana watu, tukilinganisha na huku kwetu unaweza kusema yupo kama Jakaya Kikwete. Kenya ndio nchi inayoenjoy uhuru zaidi katika nchi zote za afrika mashariki (mtazamo wangu), nikiifikiria Rwanda, nikiifikiria Uganda kule ndio hali mbaya zaidi.
Wakenya wanaenjoy sana hivi sasa, kinachonifanya niamini wakenya watammiss Uhuru Kenyatta ni hao wanaotajwa kuwa warithi wa Uhuru, watu kama kina Ruto wanaonekana kabisa ni Power Mongers ambao hawataweza kuvumilia memes, kukosolewa au mtizamo kinzani.
Wakenya wasipoangalia watarudi hatua nyuma sana wakati walishatoka enzi za kina moi na kibaki, hamna raha kama kupata kiongozi ambaye amezoea utawala na mamlaka, asiyejali mambo madogo madogo kama Uhuru.
Uhuru Kenyatta licha ya mapungufu yake mengine ni Kiongozi poa ambaye habanibani sana watu, tukilinganisha na huku kwetu unaweza kusema yupo kama Jakaya Kikwete. Kenya ndio nchi inayoenjoy uhuru zaidi katika nchi zote za afrika mashariki (mtazamo wangu), nikiifikiria Rwanda, nikiifikiria Uganda kule ndio hali mbaya zaidi.
Wakenya wanaenjoy sana hivi sasa, kinachonifanya niamini wakenya watammiss Uhuru Kenyatta ni hao wanaotajwa kuwa warithi wa Uhuru, watu kama kina Ruto wanaonekana kabisa ni Power Mongers ambao hawataweza kuvumilia memes, kukosolewa au mtizamo kinzani.
Wakenya wasipoangalia watarudi hatua nyuma sana wakati walishatoka enzi za kina moi na kibaki, hamna raha kama kupata kiongozi ambaye amezoea utawala na mamlaka, asiyejali mambo madogo madogo kama Uhuru.