Kenya na Ethiopia ndio nchi zilizotumia pesa nyingi kujihami mwaka 2019

Mdomo ndio unao waponza siku zote wakenya wanasahau east Africa cc ndio baba zao Yan Kenya akijichanganya kwa Tanzania NI two days tumesha mtoa rais ikulu mkitaka mjue kua alshabab wanao wajambisha walijaribu tz wakamaliza wote ndani ya masaa 48 uko tanga. Mnajisifia Sana lakin nyie maboya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pwahahahahaha!!!! What do you have by the way?
We have these:-
A-100 MRL



 
Al Shabab hawajawahi attack TZ. Wacha uongo
 
Sasa wewe punguani si mnataka kuzichapa huko, au umesahau?

Usiwasahau na Wasomali, usijihami uone watakufanya nini.
 
Tanzania ni nchi iliyopata baraka za kijamaa tangu kuanza kwa Taifa hili, hivyo sifa kuu ya Wajamaa ni Usiri katika mambo yao.
Mfano ni China, Russia, North Korea n.k
Kenya wao ni Mabepari, kujisifu ni sifa kuu ya nchi za kibepari, wanajihami kwa maneno mengiiiii ili waogopwe.
Ulinzi wetu ni siri yetu na Kamwe hatutoweka bayana Silaha tunazomiliki.
Hii ni nchi, hii ni Sirikali na sio Semakweli.
 
I have told you. Stop parading unguided missiles because that is world war 2 technology.
Pwahahaha!!! I told you to show what do you have!!?
Unapiga makelele tu
A-100 MRL ni ya kisasa kabisa. Africa nzima ni Tanzania pekee ipo (It has GPS system )

 
Hufatilii tatizo pia CC hua hatupend Kiki zakutangaza majanga uliza vizuri habari ya tanga kwenye mapango ya mboni kilitokea nn na walio pigwa ni kina nan wakenya mlivyo wajinga na mazoba alshabab wa West get nilisika walitoroka na hamkuwapata mkaishia kuonesha picha zao za CCTV camera nyie Kenya bado wadogo Sana kifikra na kiakil. Ila sawa ili mfanikiewe lazima mue na role model
Ukitaka ujue Tanzania ni Nan wewe Jamba tu uone utakavyo potezwa hata kabla ya ushuz kunuka

Pia mnasema tunaonea nchi ndogo hiv mmesahau Kama Uganda tulimpiga akiwa anasaidiwa na gadafi wa Libya. Nyie jichetuen tu ulim uponze kichwa
Al Shabab hawajawahi attack TZ. Wacha uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Somalia ambayo ni nyoko hata kwa Marekani.
Now comments like this one shows soon you will come to your senses.
Winning war is not about munitions only, if that was the case America would have won the war on Somalia back then 90's, should have won their War against Taliban in Afghanistan few days after invasion.

Vita ni moyo, ujasiri (courage), mbinu (tacts and technics), uvumilivu (endurance), nidhamu (discipline), n.k.
Above all you must be a psychological and mentality monster.

Ndio maana umeona Kenya imeshindwa kuwadhibiti Al Shabaab ndsni ya Kenya na ndani ya Somalia.

Umeona Tanzania ilivyo deal na terrorists wa Kibiti ambao sasa wana wasumbua serikali ya Msumbiji(Mozambique)?
 
W
Sasa wewe punguani si mnataka kuzichapa huko, au umesahau?

Usiwasahau na Wasomali, usijihami uone watakufanya nini.
Wewe si uende Somalia ufirwe huko maana wanakuzingua sana
 
wacha kelele nyingi kwanza jua difference Kati ya firing range na operational range .
Pwahahaha!!! Mbona unajifungia kama panya kaona paka.
Show me your weapon.πŸ˜€πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Nyie mna mdomo tu ila vitendo ni zero.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…