technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Kenya mjiandae na mjifunze yanaendelea Tanzania na Nigeria kama mtafanya makosa mwaka 2022 msije kutulaumu !!
Sitaongea sana lakini naona kiongozi mnayemuandaa kuwa Rais hapo 2022 na yeye ana elements za Rais wa sasa wa Tanzania na Raisi wa sasa wa Nigeria ni Ushauri tu
Wakenya msije mkasema tulifanya makosa
Sitaongea sana lakini naona kiongozi mnayemuandaa kuwa Rais hapo 2022 na yeye ana elements za Rais wa sasa wa Tanzania na Raisi wa sasa wa Nigeria ni Ushauri tu
Wakenya msije mkasema tulifanya makosa