Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Hahaha wameshaona kwenye hii vita wao ndo wangepoteza sanaBumbaaaaaaV kwann wanasurrender mapema ilitakiwa ziundwe kamati tutume wanadiplomasia yaan kaurasimu flan labda hata mtu atajenga nyumba ya $100000
Kenya wapo sensitive Sana na uchumi sio kama lile taifa lenye HQ ya jfHahaha wameshaona kwenye hii vita wao ndo wangepoteza sana
Kingereza Chenye accent ya kikikuyu na kijaluoWatulie kiingereza sio msosi....
Infact we speak better english than them sema sisi sio wakabila wa hiyo lugha. Tunabaki njia kuu kama nyerere alivyotuasaKingereza Chenye accent ya kikikuyu na kijaluo
Hahaaaa.....wako sensitive na uchumi upi? Mkuu kuwa serious sasa maana unasifia usichokijua labda.Kenya wapo sensitive Sana na uchumi sio kama lile taifa lenye HQ ya jf
Utafikiri africa nzima wao tu ndio wanajua kingerezaInfact we speak better english than them sema sisi sio wakabila wa hiyo lugha. Tunabaki njia kuu kama nyerere alivyotuasa
Huyo ni wale wasio pitwa na post,Hahaaaa.....wako sensitive na uchumi upi? Mkuu kuwa serious sasa maana unasifia usichokijua labda.
Makamba aache kujipendekeza na kutaka kujitafutia umaarufu! Alikuwa wapi walipofungia ndege yetu?Tanzania kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Nje, January Makamba, ameahidi kutatua na kusuluhisha mzozo wa Kenya na Tanzania Airways.
Kupitia chapisho kwenye X, January alifichua kuwa alizungumza na waziri mkuu wa Kenya, Musalia Mudavadi, na kuahidi kusuluhisha suala hilo ndani ya siku 3 kulingana na makubaliano yaliyopo.
Pia Soma:
- Tanzania yazuia ndege za shirika la ndege la Kenya kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya
View attachment 2872849