MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
- Thread starter
- #141
Papi Chulo,
Hehehe!! Mbona sasa tunazungumza lugha moja.
- Tusaidiane kuhakikisha waathirika wa Tanzania hawaji Kenya au hawaendi kwenye nchi yoyote majirani zenu.
- Na sisi hatutawaumbua kwenye hilo la kujiaminisha hakuna corona kwenu
Tukiendelea hivyo tutakua majirani wema, na mataifa yaliyokua yanawatenga kule SADC na huku EAC watatumia hii formulae kuendana nanyi vizuri tena kwa amani na upendo.
Hehehe!! Mbona sasa tunazungumza lugha moja.
- Tusaidiane kuhakikisha waathirika wa Tanzania hawaji Kenya au hawaendi kwenye nchi yoyote majirani zenu.
- Na sisi hatutawaumbua kwenye hilo la kujiaminisha hakuna corona kwenu
Tukiendelea hivyo tutakua majirani wema, na mataifa yaliyokua yanawatenga kule SADC na huku EAC watatumia hii formulae kuendana nanyi vizuri tena kwa amani na upendo.