Kenya na Uganda wakopa Exim kujenga SGR mpaka Malaba mpakani

Kenya na Uganda wakopa Exim kujenga SGR mpaka Malaba mpakani

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Nimepitia taarifa inayosema Kenya na Uganda zimeingia makubaliano ya kujenga SGR kutoka Kenya hadi Uganda hatimaye Rwanda na DRC na Sudan Kusini.

Reli hii ikikamilika italeta ushindani mkubwa na SGR ya Tanzania ambayo nayo ina malengo hayohayo ya kuhudumia Uganda,Rwanda,Burundi na DRC. je hali hii haitaifanya reli yetu ya SGR kuwa tembo mweupe.

Tutafakari pamoja
 
Mradi wa SGR ulilazimishwa ili watu wapate kuiba hela tu lakini kiuhalisia hauna mpango wowote itakuwa kama reli ya Tazara tu.
 
Back
Top Bottom