Naxvegas254
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 542
- 316
Awekwe hata korokoroni mhuni yeye.
Magu naye atatuonyesha makubwa
Magu naye atatuonyesha makubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magu hii hii iliyo ndani ya mkoa wa mwanza ama unaongelea Magu yule *Mhutu* aliyeko jumba Jeupe?.Awekwe hata korokoroni mhuni yeye.
Magu naye atatuonyesha makubwa
Utani unaoendana na ukweli sio mzuri. Unauma kimoyo moyo.Hapo ufipa mkae kwa nafasi ofisini kwa kupeana shifti!
Kuna watu hawaamini mpaka jinamizi la Corona liwe ndani ya nyumba yake. Hebu fikiri ingawa hatuombei, kama hii kitu ianze kuwapata viongozi unafikiri hali itakuwaje? Lazima tungesikia matamko mazito, ila Mungu hutoa fundisho, muda ni Rafiki mzuri!Wakati Tanzania leo mmetutangazia tayari wapo 12 na wakenya wameshafunga viwanja vya ndege na entrance zote za kutoka nje ya mipaka yao, nyinyi mnaendelea kukusanya kodi za watalii
In God we Trust
LAZIMA KUNA AINA FULANI YA KILEVI ATAKUWA ANATUMIA HUYO SIO BURE.Gavana Gideon Saburi amekamatwa na atawekwa karantini kwa siku 14, kwa kuwa amekata kujitenga mwenyewe baada ya kurudi kutoka Ujerumani
Source
Kilifi Deputy Governor Gideon Saburi arrested and put on isolation for defying quarantine orders - People Daily
Watanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi.
Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo.
Hapa ikimpata yule aliyesema tusitishanetishane nadhani tutaanza kuwa serious, vinginevyo wacha tuendelee kuleta mzaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Utani unaoendana na ukweli sio mzuri. Unauma kimoyo moyo.
Kuna watu hawaamini mpaka jinamizi la Corona liwe ndani ya nyumba yake. Hebu fikiri ingawa hatuombei, kama hii kitu ianze kuwapata viongozi unafikiri hali itakuwaje? Lazima tungesikia matamko mazito, ila Mungu hutoa fundisho, muda ni Rafiki mzuri!
Awekwe hata korokoroni mhuni yeye.
Magu naye atatuonyesha makubwa
Huku hakuna gavana wala naibu gavana. Kuna RC tu. Tena yuko imune kwa kila kitu.Watanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi.
Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo.
Mkuu hata sisi tumefunga.Wakati Tanzania leo mmetutangazia tayari wapo 12 na wakenya wameshafunga viwanja vya ndege na entrance zote za kutoka nje ya mipaka yao, nyinyi mnaendelea kukusanya kodi za watalii
In God we Trust
Unaaemaaaaa!!Kwa Tanzania tusihofu,corona ni shetani wa kukemea kwenye nyumba za ibada na tutamshinda.
Wagojwa wote wa Kenya hiyo Corona wametokanayo nje ya nchi..Watanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi.
Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo.