toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Hii corona itakuwa hatari sana imewatoa vijana wa LUMUMBA KWENYE MOOD, SIWAON WAUNGA MKONO JUHUDI WAKIPIGA MAKOFI KWA STATEMENT YA "TUSIWE NA HOFU TUCHAPE KAZI KAMA KAWAIDA" unajua kwanini sababu KIFO HAKINA CHAMA NA MKUU KAGUSA INTEREST ZAO PIA SO WAMEBAKI WAMEDUWAA, kusema lolote hawawez sababu kinachotokea ITALY KINATANGAZWA HADHARANI,
ingekuwa mkuu anaweza kuizuia ikawapata wanachama wa ufipa na wakinazito yangepiga kelele kama wanaimba visingel na wangeunga mkono juhudi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
ingekuwa mkuu anaweza kuizuia ikawapata wanachama wa ufipa na wakinazito yangepiga kelele kama wanaimba visingel na wangeunga mkono juhudi.
Sent from my iPhone using JamiiForums