toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Mungu wako, Jiwe anasema tukusanyike makanisani... Tuna Rais wa ajabu haijawahi tokeaWatanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi.
Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo.
Watanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi.
Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo.
Eti Corona ni kagonjwa kadogo? Seriously, na hayo ni matamshi ya mtu ambaye anajiita rais? Bila kuzingatia athari za kirusi hicho kiafya, kikitazamwa kwa jicho la kiuchumi tu, hata kijitoto kilichozaliwa jana kinafahamu fika kwamba COVID-19 ni big deal.[emoji4][emoji4][emoji4] View attachment 1396234
Hata walisema maneno kama yako kabla ugonjwa hujafika nchini kwao..Huo ndiyo ukwrli. Kama wagonjwa wanapona tena bila dawa kwa nini uogope?
Kumbuka kuna baadhi ya magonjwa yana athali kubwa kwa watu weupe lakini kwa weusi hayana athali kubwa. Vile vile kuna magonjwa ambayo kwa mtu mweusi ni janga lakini kwa mtu mweupe ni kawaida.
Mfano mafua yanaua sana watu weupe lkn kwetu sisi watu weusi huna hata sababu ya kutumia dawa ukiwa na mafua (ukiwa na mafua siyo ukiugua mafua).
Lakini pia athali za HIV kwa mtu mweusi ni kubwa watu weusi bali kwa mtu mweupe anai contral kwa lishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa yaliyotekea China na Sasa yanayotekea Italy,Spain na Iran unasema WHO wanakutisha? Ulitaka wasitoe tadhali kwa wanayoyanaMpaka sasa mm nipo dilemma na huu ugonjwa,kwa sababu mpaka sasa sijasikia mtua amefariki hasa kwa nchi zilizotangulia mfano Kenya,Rwanda,na baadae Tanzania,ni kweli tunapaswa kuogopa kama WHO wanavyotutisha?mm mpaka sasa nachosikia maambukizi yanaongezaka siku kwa siku,is this bug really danger,kama tunavyoaminisha,au ni western propaganda?
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi mtu Kama Humphrey Polepole, IGP Ziro au Goalkeeper Mambosasa wakipata maambukizi ya Corona-V nini itakuwa kauli ya Watz?
Eti Corona ni kagonjwa kadogo? Seriously, na hayo ni matamshi ya mtu ambaye anajiita rais? Bila kuzingatia athari za kirusi hicho kiafya, kikitazamwa kwa jicho la kiuchumi tu, hata kijitoto kilichozaliwa jana kinafahamu fika kwamba COVID-19 ni big deal.
Anaisemea nchi yake siyo TanzaniaHata walisema maneno kama yako kabla ugonjwa hujafika nchini kwao..
Sasa wanakiri wamepoteza matumaimi katika hili janga...View attachment 1396578
Sent using Jamii Forums mobile app
Wagojwa wote wa Kenya hiyo Corona wametokanayo nje ya nchi..
Tusitishane!.
P
Elimu na umasikini.Hiii nayo ni ujinga Sasa,mbona Africa tunachagua mazoombie kama hawa