Kenya namba tano duniani kwa nishati mbadala

Kenya namba tano duniani kwa nishati mbadala

approximately 70 per cent of Tanzanians continue to live on less than US$2.00 a day.
Yaani asilimia 70% maaskini wa kutupwa....
Hizo asilimia nyingine 30% ni wahindi na waarabu, ila nyie mpo nje nje
paining truth lol mlifikiri mkifake GDP itajicopy mpaka kwenye reality population in poverty?

Kenya ninyi bado mafukara sana, kama hamuwezi kununua unga mpaka serikali itoe ruzuku je tuendelee bado kujadili hali ya umasikini wenu? Mnakufa njaa na kupokea misaada ya chakula daily
1281798_2B0D8826-86A3-4B03-AF6C-9561F1F4C83E.jpeg
1281792_643D69BA-B00E-4AD4-A514-935CE6846A2E.jpeg
 
LOL anasema Tanzania masikini wa kutupwa wakati population below the poverty line ni 26% wakati Kenya ni 48% sasa sijui hapo nani wa kumcheka mwenzake

Huku wenyewe wakisaidiwa chakula na 99.9% desert country View attachment 1286264
Prove your allegations that Kenya ni 48% with world Bank and IMF reports,.
Na 22 million people living in extreme poverty in TZ ni percentage ngapi ya 55million Tanzanians?
 
paining truth lol mlifikiri mkifake GDP itajicopy mpaka kwenye reality population in poverty?

Kenya ninyi bado mafukara sana, kama hamuwezi kununua unga mpaka serikali itoe ruzuku je tuendelee bado kujadili hali ya umasikini wenu? Mnakufa njaa na kupokea misaada ya chakula daily View attachment 1286376View attachment 1286377
Leta reports za World bank ama IMF
NOT githeri blogs....
 
paining truth lol mlifikiri mkifake GDP itajicopy mpaka kwenye reality population in poverty?

Kenya ninyi bado mafukara sana, kama hamuwezi kununua unga mpaka serikali itoe ruzuku je tuendelee bado kujadili hali ya umasikini wenu? Mnakufa njaa na kupokea misaada ya chakula daily View attachment 1286376View attachment 1286377

Nimekupa tàarifa za WB, wewe unaokoteza ila haitabadilisha mlivyo.
Kwa sasa GDP ya Kenya inaelekea kuwa mara mbili yenu.
 
Aha haa
Kwenye Kamusi Kuu ya Kiswahili iliyoandaliwa na Taasisi ya Ukuzaji wa Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Inasema Nishati Jadidifu inahusisha nishati itokanayo na upepo, jua, maji, joto ardhi na mboji. Ni nishati rafiki kwa mazingira. Ndiyo maana tumeapa kutekeleza mradi mkubwa wa umeme wa Bonde la Nyerere licha ya propaganda za kuwa mradi siyo rafiki wa mazingira.
Sawa professor.
 
Ingekuwa kenya ndio asilimia ndogo isingekuwa fake blogs 😂😂😂
Walifikiri kama wameweka kufake gdp basi kazi yote kwisha lol


Halafu kitu wakenya hawajui ni maana ya GDP (jumla ya bidhaa zilizozalishwa mostly industrial products)

Sasa wao wanadhani kuzalisha bidhaa nyingi ndio kuondoa umasikini, kuzalisha bidhaa hakuna uhusiano wowote na kuondoa umasikini

Viwanda viwili tu vya General motors na General electric vya marekani vinaweza kuset biashara yao Tanzania na kwa muda mfupi Tanzania ikawa na gdp kubwa Africa

Lakini je huo uzalishaji mkubwa wa hivi viwanda viwili ndio umemaliza kabisa tatizo la maji, barabara, umeme, afya, elimu, lishe Tanzania nzima?

Sasa jinsi walivyo na akili ndogo wanafikiri gdp kubwa ndio kila kitu kwisha lol
 
Walifikiri kama wameweka kufake gdp basi kazi yote kwisha lol


Halafu kitu wakenya hawajui ni maana ya GDP (jumla ya bidhaa zilizozalishwa mostly industrial products)

Sasa wao wanadhani kuzalisha bidhaa nyingi ndio kuondoa umasikini, kuzalisha bidhaa hakuna uhusiano wowote na kuondoa umasikini

Viwanda viwili tu vya General motors na General electric vya marekani vinaweza kuset biashara yao Tanzania na kwa muda mfupi Tanzania ikawa na gdp kubwa Africa

Lakini je huo uzalishaji mkubwa wa hivi viwanda viwili ndio umemaliza kabisa tatizo la maji, barabara, umeme, afya, elimu, lishe Tanzania nzima?

Sasa jinsi walivyo na akili ndogo wanafikiri gdp kubwa ndio kila kitu kwisha lol
Wanapenda kujifariji ujinga sana na rank za kijinga zisizoendana na hali halisi 😂😂😂
 
Hivi wewe huwezagi kuiongelea Kenya vizuri bila kuzidunisha nchi nyingine? Mbona mna chuki zisizokoma muda wote? Sehemu wala haihitajiki chuki kabisa lakini unaiibua ili Kenya ionekane bora?
Nyie pia mna chuki sana na Kenya kwanza Geuza milele, baridi la jiwe na akili punguani. Wote watatu wana chuki sana na Kenya. Fuatilia nyuzi zao uone
 
Nyie pia mna chuki sana na Kenya kwanza Geuza milele, baridi la jiwe na akili punguani. Wote watatu wana chuki sana na Kenya. Fuatilia nyuzi zao uone
Toa boriti jichoni kwako kabla ya kuanza kuangaika kutoa machoni pa wengine.
 
Wanapenda kujifariji ujinga sana na rank za kijinga zisizoendana na hali halisi 😂😂😂
LOL waangalie Nigeria, ndio inaongoza kwa gdp kubwa Africa lakini pia ndio nchi masikini number moja Africa

India na yenyewe ina gdp kubwa size ya G7 lakini ndio nchi yenye masikini wengi dunia nzima

Wakenya bado sana, elimu ndogo
 
Nyie pia mna chuki sana na Kenya kwanza Geuza milele, baridi la jiwe na akili punguani. Wote watatu wana chuki sana na Kenya. Fuatilia nyuzi zao uone
Wao huongea kwa facts sio kwa chuki kama huyo mkenya mwenzako, yeye pekee ndio naona ana chuki ya wazi wazi
 
LOL waangalie Nigeria, ndio inaongoza kwa gdp kubwa Africa lakini pia ndio nchi masikini number moja Africa

India na yenyewe ina gdp kubwa size ya G7 lakini ndio nchi yenye masikini wengi dunia nzima

Wakenya bado sana, elimu ndogo
GDP ya kwenye makaratasi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom