Kenya namba tano duniani kwa nishati mbadala

Kenya namba tano duniani kwa nishati mbadala

LOL anasema Tanzania masikini wa kutupwa wakati population below the poverty line ni 26% wakati Kenya ni 48% sasa sijui hapo nani wa kumcheka mwenzake

Huku wenyewe wakisaidiwa chakula na 99.9% desert country View attachment 1286264
Uchumi wa kunya unakuwa kwenye statistics tu.ila reality hamna kitu.Na sisi wa tz hatuna haja ya kujisifu ila majanga yanawaumbua.


Kelele za kina mk254 na vidata vyao vya kuvundika,vinaifanya kibera isiendelee
 
Nimekupa tàarifa za WB, wewe unaokoteza ila haitabadilisha mlivyo.
Kwa sasa GDP ya Kenya inaelekea kuwa mara mbili yenu.
Iyo GDP inaishia mikononi mwa kina freedom na kanyang'au wengine.nyie mnatoa macho kwenye slums zenu.mr anakula nyasi tuuu
 
Uchumi wa kunya unakuwa kwenye statistics tu.ila reality hamna kitu.Na sisi wa tz hatuna haja ya kujisifu ila majanga yanawaumbua.


Kelele za kina mk254 na vidata vyao vya kuvundika,vinaifanya kibera isiendelee
lol ila kweli

Angalia sababu zilizochangia Tanzania kupunguza umasikini 👇👇👇

"#Tanzania has sustained high econ growth and poverty decreased from 34.4% in 2007 to 26.4% in 2018. Gradual improvements in

1.access to basic services +

2.infrastructure,

3.assets ownership and

4. in human capital

helped reduce poverty that we've seen" - Bella Bird WB #


1Kwa Kenya upatikanaji wa maji ni shida kubwa, Nairobi tu 50% hawana maji kabisa ya Bomba sasa hizo counties nyingine vipi?

2Chakula Kenya ni shida kubwa na Umasikini wa chakula ni mkubwa Kenya kuliko umasikini wa material things

3Miundombinu ni mibovu Kenya, kila mradi mkubwa wa billions of money umewekwa central Kenya, hizo counties za North hakuna hata barabara ya vumbi ya kuwaunganisha


4Assets ownership Kenya ndio zero kabisa sababu hawana ardhi yenye rutuba kabisa na Ile kidogo imeshikwa na wachache wengi wao wazungu so hata assets ya kuuza au kurithisha kizazi chake haipo


5Human capital ndio joblessness, Kenya inaongoza Africa kwa uzalishaji wa wasiona ajira.
 
Uchumi wa kunya unakuwa kwenye statistics tu.ila reality hamna kitu.Na sisi wa tz hatuna haja ya kujisifu ila majanga yanawaumbua.


Kelele za kina mk254 na vidata vyao vya kuvundika,vinaifanya kibera isiendelee
Wewe una matatizo ya ubongo. Unajamba jamba maneno yasioeleweka.
 
MK254, hawa majirani kwa domo domo na kujiliwaza hutawezana nao. Usijisumbue kuwaitisha takwimu za kueleweka kutoka kwa WB au IMF. Nakumbuka zile takwimu za UN(UNDP) za 2018 ambazo hawakutaka kuziona wala kuzijadili. Kwa % ya masikini wameipiku hadi Nigeria na kumbuka kwamba Nigeria wamewazidi kwenye GDP. 2018 GLOBAL MULTIDIMENSIONAL POVERTY INDEX | Human Development Reports

1. Nigeria - 99 166 000 - 51.95%
2. Ethiopia - 85 834 000 - 83.82%
3. DRC - 57 050 000 - 72.46%
4. Tanzania - 30 915 000 - 55.63%
5. Uganda - 23 549 000 - 56.76%

6. Mozambique - 20 913 000 - 72.54%
7. Sudan - 20 738 000 - 52.40%
8. Madagascar - 19 366 000 - 77.79%
9. Kenya - 18 837 000 - 38.87%
10. Niger - 18 727 000 - 90.59%
11. Burkina Faso - 15 655 000 - 84.01%
12. Angola - 15 494 000 - 51.17%
13. Mali - 14 056 000 - 78.11%
14. Chad - 12 409 000 - 85.86%
15. South Sudan - 11 242 000 - 91.92%
16. Cote d'Ivoire - 10 926 000 - 46.11%
 
MK254, hawa majirani kwa domo domo na kujiliwaza hutawezana nao. Usijisumbue kuwaitisha takwimu za kueleweka kutoka kwa WB au IMF. Nakumbuka zile takwimu za UN za 2018 ambazo hawakutaka kuziona wala kuzijadili. Kwa % ya masikini wameipiku hadi Nigeria. 2018 GLOBAL MULTIDIMENSIONAL POVERTY INDEX | Human Development Reports

1. Nigeria - 99 166 000 - 51.95%
2. Ethiopia - 85 834 000 - 83.82%
3. DRC - 57 050 000 - 72.46%
4. Tanzania - 30 915 000 - 55.63%
5. Uganda - 23 549 000 - 56.76%

6. Mozambique - 20 913 000 - 72.54%
7. Sudan - 20 738 000 - 52.40%
8. Madagascar - 19 366 000 - 77.79%
9. Kenya - 18 837 000 - 38.87%
10. Niger - 18 727 000 - 90.59%
11. Burkina Faso - 15 655 000 - 84.01%
12. Angola - 15 494 000 - 51.17%
13. Mali - 14 056 000 - 78.11%
14. Chad - 12 409 000 - 85.86%
15. South Sudan - 11 242 000 - 91.92%
16. Cote d'Ivoire - 10 926 000 - 46.11%
Hehehehehe kujifariji inaruhusiwa hivyo basi endelea.


 
MK254, hawa majirani kwa domo domo na kujiliwaza hutawezana nao. Usijisumbue kuwaitisha takwimu za kueleweka kutoka kwa WB au IMF. Nakumbuka zile takwimu za UN za 2018 ambazo hawakutaka kuziona wala kuzijadili. Kwa % ya masikini wameipiku hadi Nigeria. 2018 GLOBAL MULTIDIMENSIONAL POVERTY INDEX | Human Development Reports

1. Nigeria - 99 166 000 - 51.95%
2. Ethiopia - 85 834 000 - 83.82%
3. DRC - 57 050 000 - 72.46%
4. Tanzania - 30 915 000 - 55.63%
5. Uganda - 23 549 000 - 56.76%

6. Mozambique - 20 913 000 - 72.54%
7. Sudan - 20 738 000 - 52.40%
8. Madagascar - 19 366 000 - 77.79%
9. Kenya - 18 837 000 - 38.87%
10. Niger - 18 727 000 - 90.59%
11. Burkina Faso - 15 655 000 - 84.01%
12. Angola - 15 494 000 - 51.17%
13. Mali - 14 056 000 - 78.11%
14. Chad - 12 409 000 - 85.86%
15. South Sudan - 11 242 000 - 91.92%
16. Cote d'Ivoire - 10 926 000 - 46.11%

Yeah hii data imetulia...
 
Yeah hii data imetulia...
Hiyo ilikuwa 2018, link ya ripoti ya 2019 ndio hii hapa. Hebu ichambue, Kenya ilipunguza asilimia ya masikini kwa kiasi kikubwa. Alafu hawa jamaa wa tweets wanaeneza porojo zao wakati kwao masikini ni zaidi ya 50%! Alafu ripoti yenyewe ni MULTIDIMENSIONAL, yaani imezingatia mengi zaidi ya 'earnings'. Kuna vitu vya kawaida sana ambavyo vimezingatiwa, kama vyoo vinavotumiwa, aina ya nyumba ambazo watu wanaishi, lishe, n.k, n.k.
 
MK254, hawa majirani kwa domo domo na kujiliwaza hutawezana nao. Usijisumbue kuwaitisha takwimu za kueleweka kutoka kwa WB au IMF. Nakumbuka zile takwimu za UN(UNDP) za 2018 ambazo hawakutaka kuziona wala kuzijadili. Kwa % ya masikini wameipiku hadi Nigeria na kumbuka kwamba Nigeria wamewazidi kwenye GDP. 2018 GLOBAL MULTIDIMENSIONAL POVERTY INDEX | Human Development Reports

1. Nigeria - 99 166 000 - 51.95%
2. Ethiopia - 85 834 000 - 83.82%
3. DRC - 57 050 000 - 72.46%
4. Tanzania - 30 915 000 - 55.63%
5. Uganda - 23 549 000 - 56.76%

6. Mozambique - 20 913 000 - 72.54%
7. Sudan - 20 738 000 - 52.40%
8. Madagascar - 19 366 000 - 77.79%
9. Kenya - 18 837 000 - 38.87%
10. Niger - 18 727 000 - 90.59%
11. Burkina Faso - 15 655 000 - 84.01%
12. Angola - 15 494 000 - 51.17%
13. Mali - 14 056 000 - 78.11%
14. Chad - 12 409 000 - 85.86%
15. South Sudan - 11 242 000 - 91.92%
16. Cote d'Ivoire - 10 926 000 - 46.11%
Facts! No printers.
 
LOL waangalie Nigeria, ndio inaongoza kwa gdp kubwa Africa lakini pia ndio nchi masikini number moja Africa

India na yenyewe ina gdp kubwa size ya G7 lakini ndio nchi yenye masikini wengi dunia nzima

Wakenya bado sana, elimu ndogo
Tanzania inaizidi na nn india
 
lol ila kweli

Angalia sababu zilizochangia Tanzania kupunguza umasikini [emoji116][emoji116][emoji116]

"#Tanzania has sustained high econ growth and poverty decreased from 34.4% in 2007 to 26.4% in 2018. Gradual improvements in

1.access to basic services +

2.infrastructure,

3.assets ownership and

4. in human capital

helped reduce poverty that we've seen" - Bella Bird WB #


1Kwa Kenya upatikanaji wa maji ni shida kubwa, Nairobi tu 50% hawana maji kabisa ya Bomba sasa hizo counties nyingine vipi?

2Chakula Kenya ni shida kubwa na Umasikini wa chakula ni mkubwa Kenya kuliko umasikini wa material things

3Miundombinu ni mibovu Kenya, kila mradi mkubwa wa billions of money umewekwa central Kenya, hizo counties za North hakuna hata barabara ya vumbi ya kuwaunganisha


4Assets ownership Kenya ndio zero kabisa sababu hawana ardhi yenye rutuba kabisa na Ile kidogo imeshikwa na wachache wengi wao wazungu so hata assets ya kuuza au kurithisha kizazi chake haipo


5Human capital ndio joblessness, Kenya inaongoza Africa kwa uzalishaji wa wasiona ajira.
Tuletee idadi ya matajiri, watu wenye vipato vya kati na maskini tulinganishe na ke uone hao watu wachache ni wengi kuliko tz+ug+rw+burundi[emoji23][emoji23]
 
Another one!
Screenshot_20191213-174632.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom